Nchi hii kila ovu ni sahihi, ikiwa tu hao wanasiasa watabariki. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo Mtihani wa Taifa unafanyika, kisha unaonyesha ya kwamba mtu amefaulu..
Baadaye mwanafunzi huyo anapewa Mtihani mwingine wa 'uchochoroni' kisha kuonekana hawezi kusoma wala kuandika. Matokeo ya Mtihani wa 'uchochoroni' ndio yanayokubalika. Mtihani wa Taifa hauaminiki na Taifa.