Mtihani wa kesho huu hapa!!

Nilikamua sayansi lakini Ngwini nilikuwa fiti......naanza kuwashushia darasa najua kitu ndio hiki......mwenye mdogo wake amkopie akremu apate kibanda asonge mbele.....Naanza na swali la kwanza...
Why did British adopt indirect rule system in their colonies?
Hints
Introduction:
>>Define Indirect Rule 1


Reasons
>>Deseases e.g Malaria
>>.......
.
.

Conclusion>>> Views,advantages and disadvantages...
Jazieni jazieni minofu madogo wafaulu.....

N.B:Hii Aibu
 
wewe unatania wake za watu steveb ohooo

---Shy, riwaya ipi ya mapenzi umesoma hivi karibuni ambayo inasemakuwa mtu akiolewa anaachana na utani? Au ni website ipi umekutana nayo hivi karibuni ambayo unaweza kui-copy and paste again inayoashiria hilo hilo?!

---Humor should prevail mkuu. Otherwise tutakuwa tunanuniana hata kwenye maandishi kwa kuogopana.
 

Ushi,

Tatizo sio tu kuwa na shule nyingi bali ni jiografia ya baadhi ya maeneo hususan ya remote areas.

Idea ya kutumia bank system ni nzuri lakini tatizo linarudi pale pale kwa hizo remote areas hakuna hata tawi la benki!. Tawi la benki lipo wilaya na utakuta kuenda huko kutoka wilayani ni mbinde. Nitakupa mfno niliwahi kufika mahala kunaitwa Mbwera ( Rufiji delta) kutoka makao makuu ya wilaya (Utete) mpaka huko ni mwendo mrefu lakini baya zaidi usafiri hakuna na inafika mahala inabidi mpande mitumbwi kufika kwenye visiwa vidogo vidogo awali nilikataa baada ya kusihiwa sana na wenye hatimae nikapanda nilikuwa roho juu njia nzima. Wenyeji wanasema huko hajawahi kutembelea kiongozi yeyote yule wa kitaifa zaidi ya DC na tena kila baada ya miaka 5 au zaidi.
 
Hebu anza kutaja moja baada ya nyingine. Anza na jina halafu endelea.

Ohooo wazee tunaenda wapi tena huko? bora mhamie kwenye PM huko mtajiane ids zenu sie hatuzihitaji hapa....
 

Mkuu Masatu

Hii challenge kubwa sana, tunajenga taifa gani sasa jamani!! Nadhani tukifanya homework zetu vizuri tunaweza kabisa kupata suluhisho la hili tatizo, unafikiri hatuwezi kabisa? I do not believe.....tunashindwa kupambana na mafisadi wanaofaidi keki ya taifa peke yao hata hili la mitihani ......I am confused 🙂

Ushi
 
---Masatu, ahsante kwa mfano, lakini je huko nako kwenye kuvuka mtumbwi kulikuwa na shule ya sekondari (kidato cha nne)??!!
 
---Masatu, ahsante kwa mfano, lakini je huko nako kwenye kuvuka mtumbwi kulikuwa na shule ya sekondari (kidato cha nne)??!!

Huko mkuu SteveD wakati nilipoenda hakukuwa na shule ya sekondari hata moja. Lakini kama nilivyosema hapo awali uanzishwaji wa sekondari za kata naamini kutakuwa na sekondari walau 2 hivi sasa kwani kuna kata 2 kule ingawa watakuwa landa kwenye form 2 au 3 sasa lakini ndio wanakaribia je mwakani wakifika tunafanyaje?
 
Mwenye paper za cookery,Bible knowledge na Niddle work anitumie kwenye PM
 
---Ahsante sana kushukuru. Ila naomba tafadhali unijulishe ni nani huyo anibariki?

---Maana baraka ni thawabu toka kwa watu na miungu wenye kutofautiana.

Ubarikiwe na MUNGU ninaemuabudu na kumuamini ni huyu huyu MUNGU alieigawa bahari ya sham na wanaisrael wakapita,Aliemuokoa Daniel kwenye tundu la simba ndo huyuhuyu MUNGU alienipa mme mwema na watoto wazuri!
 
Either huu si mtihani, or aliyepost kakosea ku copy paste maswali.I mean kingereza chenyewe kushoto.

 

---labda serikali ya Mh. Kikwete itakuwa imeshatekeleza Ilani yake, maisha bora kwa Watanzania wote.... hivyo barabara na madaraja yatakuwa yameshajengwa. CRDB, NMB watakuwa wameshaweka kambi, na mitihani itaweza kufikishwa kule kwa usalama kupitia wao.... siwezi kujua yakhe, i can only imagine mkuu!!!

---tulimpongeza Mh. Lowassa kwa amri aliyotoa na kutekelezwa katika ujenzi wa madarasa. Tulifumbia macho ufujaji wa mitihani na nyenzo za kuhakikisha karaha hiyo haitendeki.

---sasa njemba za dar, zinaweka kambi tu remotely kule Tandahimba kwa Mchechu, ambako mitihani ni lazima ifike ndani ya masaa 34 katika ile shule ya tarafa ili kuhakikisha watahiniwa wanaupata na kuketi kuufanya.... njemba za dar kwa kutumia tigo na zain, zinasomewa maswali yote kwenye simu!!! mambo mwendo mdundo... makao makuu pepa linakuwa halijalika lakini wenye pepa wapo makao makuu!!!! Watendaji Dar wanasameheka, maana hawahusiki!!! wanaokamatwa na kuadabishwa ni hao wahusika wa vijijini. what a shame!
 
Shukrani sana. naomba kujua tutajuaje kama ni wenyewe huu hapo kesho. Kwa sababu wizara inasema papers zinazombaa ni feki. Naomba ikiwa ni yenyewe mtuarifu please. This will be the reason to cancell mtihani wote na hao jamaa wakubali kujiuzulu

Ikithibitika kesho kwamba huu mtihani ni wa kweli basi Maghembe na Ndalichako ni lazima washinikizwe wajiuzulu maana kazi imewashinda. Baada ya kuthibitika kwamba mitihani iliyokwishavuja ni ya kweli, hawakuchukua hatua zozote za muhimu kuhakikisha mitihani yote inabadilishwa ili kuondokana na tatizo la mitihani iliyovuja.
 
  • Who leaked the exam? Why is the exam leaked?vWhat is Necta and Ministry doing about this?
  • Why do we need national exams? what is the purpose? is this an aptitude test or pre-qualification exam to receive government sponsorship to get "free' education?
  • What is wrong with our education system? why are we observing year after year same problems?
  • The History Exam questions, as Mwanakijiji stated, nothing has changed 20 years after I took the O level exam! Hasn't history changed or there is need to move away from old curriculum?
  • If this is an aptitude and qualification exam to advance to a Government school (huu ndio ukweli), why does't that responsibility pushed down to regional level? why have NECTA while we could have Exams created at regional level under supervision of Regional Education Officer?
  • This will be an opportunity for computerization, where the exam could be emailed to head teachers of the secondary school the morning of the exam day hence removing leaking!
 
@ Wote wenye kujali..

Hii hoja kuwa mtihani ni uleule tangu miaka ile ya vita vya Idd Amin, nadhani haijakaa vizuri ..kwani Historia hubadilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…