Mtihani wa kesho huu hapa!!

Kuna mwanataaluma mmoja kanifowardia sehemu ya barua ya mwanafunzi wa chuo kikuu akiomba kubadili digrii program " The heading above is much concerned. I was done quickly choice due to application form so late I was got, lack of understand and its application of degree programme of …. But now I have enough information and its application for that, ........ I hope my application will considered soon as possible."

Hapo vipi wazee? as you can see the consequences.
 


Teh Teh teh teh

siku wakitoa maswali hayo ktk mitihani yao naomba niambiwe popote nilipo niende nikafanye, maana nina majibu yao mazuri tu.

lakini binafsi nadhani tunakoelekea sioni umuhimu wa hiyo mitihani kama inazagaa mitaani kama huko mitaani hovyo. kuna baadhi ya mitaa huko dar naambiwa watu wamebandika kwenye nguzo za umeme, yaani kila mtu anayepita ananakili maswali anaenda kufanya (ilikuwa geograph halafu ikathibitika ndio).

kwa wanafunzi waliopo shuleni, nadhani ni bora walimu wachukue wastani wao toka form one hadi four wawape vyeti vyao kwa wastani huo, sasa kwa hawa wanafunzi wa private sijui tuwatafutie njia gani.
 

mTz eeh?Sasa najua kwanini ofisi za kiserikali zinashauri barua za kiofisi ziandikwe kwa kiswahili.
 
Jamani,
tunaombeni majibu kama kweli maswali yaliyorushwa humu kwenye huu uzi ndio ulikuwa mtihani wa historia kidato cha nne leo.
 
Lakini jamani kesho si Nyerere day kuna shule? Au F4s watakuwa darasani kukandamiza History?
Cjui hapa! Du
 
Lakini jamani kesho si Nyerere day kuna shule? Au F4s watakuwa darasani kukandamiza History?
Cjui hapa! Du

Wewe nawe

hata kama ni juniour member, laaah.

uwe na mazoea ya kusoma thread kwa makini, ukizingatia aliyetuma, muda liotuma. kifupi hiyo threadilianzishwa jana na alikuwa anamaanisha mtihani wa leo.

asubuhi njema
 
Jamani,
tunaombeni majibu kama kweli maswali yaliyorushwa humu kwenye huu uzi ndio ulikuwa mtihani wa historia kidato cha nne leo.

Kwa taarifa yako ni kwamba jana usiku watu walikesha wakisambaza mtihani mwingine baada ya kusoma JF ilivyowaumbua. Hii ni hatari sana.
 
Huo mtihani ni wenyewe, nimeongea sasa hivi na msimamizi mmoja sasa hivi, ila kuna uwezekano watu wamefanya mitihani tofauti ya somo moja. maana kuna taarifa pia kuwa, kuna mitihani inasambazwa kwa siri kubadili hiyo iliyovuja. sijui kama ni nchi nzima au, baadhi tu. hata hivyo, hebu wajuzi wa mabo fuatilieni....
 
mTz,

Mkuu ukipata mwanafunzi afanye PT ofisini kwako na aandike report yake, basi lugha kama hiyo inakubidi kuizoea!
 
It's okay...kiingereza siyo lugha yake ya asili na usikute ni lugha yake ya tatu kujifunza na sio wengi wenye vipawa vya kujifunza na kujua lugha kiufasaha na wala hicho kiingereza chake hakiashirii uwezo wake wa kiakili.
 
It's okay...kiingereza siyo lugha yake ya asili na usikute ni lugha yake ya tatu kujifunza na sio wengi wenye vipawa vya kujifunza na kujua lugha kiufasaha na wala hicho kiingereza chake hakiashirii uwezo wake wa kiakili.


Ahsante sana. 🙂
 
Itakuwa vizuri kufuatilia kama huu mtihani uliowekwa hapa ndiyo uliofanywa leo.
 

Mzee! ANGEKUWA MZUNGU AMEKOSEA KUANDIKA BARUA YA KISWAHILI UNGESEMA HIVYO?
 
It's okay...kiingereza siyo lugha yake ya asili na usikute ni lugha yake ya tatu kujifunza na sio wengi wenye vipawa vya kujifunza na kujua lugha kiufasaha na wala hicho kiingereza chake hakiashirii uwezo wake wa kiakili.

Hebu tuwe wakweli bana!
''Maisha bora kwa kila mtanzania'' wakati huyu kwenye global market haingii hata kwa manati?
But,who needs be in the global market anyways?Haya,tuseme atafanya kazi serikalini.In two years' time,East African market strikes hard...mshkaji tunaye vijiweni.
Sio lazima kila mbongo awe fluent kwenye kiingereza ila basic writing skills ni muhimu katika hii globalization era.
 
baadhi ya maswali yaliyowekwa hapa yalikuwa kwenye mtihami wa leo, hasa yale yaliyokuwa bolded.

pia mitihani iliyofanyika leo siyo ile ya mwanzo, inasemekana mitihani iliyobaki imesambazwa mipya wikiendi hii. hapa mbeya mitihani ya leo kwa mfano imefikishwa katika kituo kilichoko seminary ya st marys nje kidogo ya jiji la mbeya asubuhi kama saa 12 hivi
 

Haya...ona na wewe!!! Nikisema Miafrika Ndivyo Tulivyo mnaniambia najichukia na nina low self esteem. Binafsi sioni ulazima wa kuongea kiingereza fasaha au hata kukijua. Kiswahili kinakuzika kama Kiingereza kilivyokua. Tatizo ni sisi Miafrika.

Wajapani mbona wako kwenye global market na kiingereza chao ni zero. Nenda kwenye colleges hapa US uone jinsi walivyojazana kwenye madarasa ya ESL. Wachina hao...angalia wanavyokuja juu ktk "global market"....wao hata alphabet zao ziko tofauti kabisa.....

Shauri yeni...Miafrika Ndivyo Tulivyo
 

...You needn't say nothing kujua unajichukia...

But,do things like population and technological advancement mean anything to you?Yani bila haya wala hiyana unataka kulinganisha China's economic model na Tanzania's!
Hii sasa ni kipofu kuona mbali.
An insight into China's success history through Qin Hui's perception and a read through ''Guns,Germs and Steel'' by Jared Diamond might help with your mind-wandering.
 

Miafrika Ndivyo Tulivyo ukiwemo wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…