Mtihani wa kesho huu hapa!!


Ili kulinda heshima ya hayo mavyeti na degree zetu ni lazima action ichukuliwe sasa. Futa mitihani yote, Maghembe na Ndalichako wawajibishwe, na wengine wote wanaohusika wachukuliwe hatua kali ili liwe fundisho kwa watakafuata. bila ya haya kufanyika hizo degree zetu na certificates bado zitakuwa useless and boycotted because they are not representing the real capacity of a student. Take an example someone from Tanzania with a first division/calss is adimitted in a university abroad but fail to deliver what will be the implication?.
 
duuuh, NN naona kaingiziwa na "kingi" mwingine!! hapo sasa.... and the list keeps on growing!
 
Mtihani uliouweka sio uliofanywa!

Nadhani pamoja na kuwa kwa hakika ndani ya Baraza kuna watu waliovujisha, lakini binafsi naona hatua zinazochukuliwa kwa sasa ni sawa. Wezi wanauza paper, wateja wao wanakuta mtihani tofauti! Hatimaye wataonekena ni matapeli, na wazazi wataelewa watoto wao lazima wasome tu!!!

Kigarama una comments gani kuhusu mtihani uliotuwekea na uliofanyika???
 

Mtihani haukuwa wenyewe!
 

Lakini si kuna habari kuwa ume/libadilishwa haraka baada ya kuonekana na kuthibitika kwa maswali hapa jamvini?.... au vipi tena, mlitaka ubakie kuwa ule ule?!!
 
Kwahiyo njia nzuri ni kila anayeona mtihani uliovuja ni ku post JF ili ubadilishwe. Itafika mahali kama hakuna demand hata hao wanaovujisha wataacha kufanya hivyo.
 
Kwahiyo njia nzuri ni kila anayeona mtihani uliovuja ni ku post JF ili ubadilishwe. Itafika mahali kama hakuna demand hata hao wanaovujisha wataacha kufanya hivyo.

---swadakta!!!!

---huu ni ubunifu maridhawa na ni njia mbadala kwa tatizo lililo sugu!
 
Kwahiyo njia nzuri ni kila anayeona mtihani uliovuja ni ku post JF ili ubadilishwe. Itafika mahali kama hakuna demand hata hao wanaovujisha wataacha kufanya hivyo.

Si kweli kwamba mtihani ulibadilishwa kwa sababu uliandikwa humu. Sehemu kama Nkansi, na Kibondo haziwezi kufikiwa na paper zilizobadilishwa haraka. Pamoja na kulaumu, lazima tuone kuwa ndani ya Baraza kuna watu wanafanya kazi kubwa, na wanapambana na wenzao wachache (huenda ni mmoja tu) walio walafi na wakosefu wa uadilifu kuhakikisha kuwa Wanunuao mitihani iliyoibwa na kuuzwa hawafaidiki.
 
Nilitegemea sana kujua kama ule mtihani uliowekwa hapa ndio kweli ulifanyika. Hakuna feedback?
 

Sawia kabisa nashkuru na wewe um emeliona hilo...
 
Maswali ya Mchungaji yanazidi kuja;
  • Kwa nini hakuna uaminifu?
  • Ni lini tutaanza kuwa waaminifu? au kujiamini?
  • Ni jukumu la nani kufundisha uaminifu na kuhakikisha utekelezaji wake?
  • Kuvuja kwa mitihani, je wameshaunda tume kuchunguza ni kwa nini watu wanauza, wanaiba au wanagawa mitihani kabla ili watu wafaulu
  • Kwa nini tunakimbilia kuona kipimo cha elimu ni kufaulu mtihani?
 

.........hivi unaishi ulimwengu upi mwenzetu wewe??
 
.........hivi unaishi ulimwengu upi mwenzetu wewe??

Naishi Tanzania vijijini, naelewa Jiografia ya Tanzania vijijini, na hali ya usafiri ya sehemu nilizotaja: kufikika toka Dar es Salaam. Pia ninaelewa yanayoendelea vizuri sana, na pia najaribu kupima mambo kwa undani, si kudaka yanayobandikwa tu (I reflect critically)!!!

The point is: Those who put their trust in the leakages will be the losers!!! For sure.
 
Naishi Tanzania vijijini, na ninaelewa yanayoendelea vizuri sana, na pia najaribu kupima mambo kwa undani, si kudaka yanayobandikwa tu (I reflect critically)!!!

The point is: Those who put their trust in the leakages will be the losers!!! For sure.

1.......ooohh great!!.......kwa mtaji huo huo.......then inawezekana kabisa mitihani ilisambazwa usiku huo huo......if you know what i mean

2. ........wenzako tulishapiga bao......tena kwa chest.....ndio maana mtihani ukabadilishwa........na hivyo sisi hatujashindwa.........

.....yaani kuja kwako hapa na kusema yale maswali hayakuwa kweli na kwamba mitihani haiwezi kusambazwa Nkasi na Kibondo kwa haraka hivyo ndio ku-REFLECT CRITICALLY?.............ndio kupima mambo kwa undani!!!!.........next time kuwa na adabu kidogo.....kwenye arguments zako mkuu...........

..............kama umekuja hapa ku-clear uozo wa akina Dr Ndalichako na Waziri Maghembe..........you will be the loser!!!!......kwi kwi kwi kwi
 


Ooh kumbe .....
 
Last edited:
Hapa jf tulichelewa, mitihani ya awamu ya kwanza ilivuja, wakajitahidi kuibadilisha wikiendi hii, ndo maana awamu ya pili imebadilishwa. Kubadilishwa huku kunachangia na kuvuja kwa mitihani ya isabati kwa kiwangi kikubwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…