Haya matamko ya kilevi tu, wawafundishe watoto wetu, wawape waalimu bora na elimu bora yenye viwango ndio wawatishe. Shule yenye mwalimu mmoja unaishindanisha na shule zenye waalimu wenye sifa na waalimu wakutosha sio kuprone watoto wa masikini huku?
Ndio tunataka elimu bora tena inayoendana na dunia ya leo yenye mitaala yenye tija na na mitihani isiyosimamiwa na wizara ya elimu. mitihani hii itungwe kutokana na vitabu, na kama watoto wakiwa wanashindwa kufaulu tuangalie tatizo ni nini ni watoto, vitendea kazi , waalimu au mazingira duni au vyote.