Ni vyema uelewe MMAHIRI huyo amebobea zaidi ktk lugha ipi.Kama ni ya 1 basi utumizi wake wa lugha utaegema upande wa lugha ya kwanza.sababu kuu ni lafudhi egemezi.mf.kudhini badala ya kusini.kwa maneno mengine mtumiaji wa lugha huegemea zaidi upande ule ambako huitumia kwa muda mrefu.mf.KAZINI(Eng.8to 9hrs)