Mtihani wa kwanza kwa mwenyekiti wangu freeman mbowe kwenye bunge la katiba

Mtihani wa kwanza kwa mwenyekiti wangu freeman mbowe kwenye bunge la katiba

Jolebatawi

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
549
Reaction score
230
Wadau kabla ya bunge la katiba kuahirishwa jioni hii alikaribishwa lipumba akaongea hadi mwisho sikumwelewa,akafuatia mbowe naye cha ajabu tofauti na nilivyomzoea kwa kutoa hotuba kali zenye hoja na zinazoshawishi lakini kwa mara ya kwanza mbowe ametoa hotuba mwanzo hadi mwisho sijamuelewa.Lakini kwa watu tuliosoma saikolojia niligundua kuna kitu kiko nyuma ya pazia ambacho hawa watu akiwemo mbatia hawajakisema. WITO WANGU KWA MBOWE ; Kwanza naomba utambue watanzania wengi kwa sasa tunaitegemea chadema kama ndiyo mkombozi wetu kwa haki zinazotaka kuporwa na chama tawala,hivyo kuwa makini sana hata kwenye hivyo vikao vya mashauriano,haingii akilin CCM wanawakwamisha kwenye hyo kamati kila cku zoez linaahirishwa eti nanyi leo bado mnasapoti kuahirisha,usitake kuwaamini sana lipumba na mbatia bado sina imani nao sana kwenye misimamo thabiti,unaweza ukawa unazugwa kidizaini huku wakiwa na lengo la kuivuruga CHADEMA PIA!Kwa leo ni hayo tu! MODS HUU UZI UNAJITEGEMEA NA UNAMHUSU MBOWE HIVYO USIUNGANISHWE
 
nilisikia kuna mpango wa kupiga kura ya siri kuamua kura ya wazi hii leo, vipi umefikia wapi
 
nilisikia kuna mpango wa kupiga kura ya siri kuamua kura ya wazi hii leo, vipi umefikia wapi

Hilo wazo lilitolewa na ezekiel oluoch tangu asubuh ila CCM wakazomea sana hadi ikawa kama kituko sasa huku ni hoja ya msingi
 
Wadau kabla ya bunge la katiba kuahirishwa jioni hii alikaribishwa lipumba akaongea hadi mwisho sikumwelewa,akafuatia mbowe naye cha ajabu tofauti na nilivyomzoea kwa kutoa hotuba kali zenye hoja na zinazoshawishi lakini kwa mara ya kwanza mbowe ametoa hotuba mwanzo hadi mwisho sijamuelewa.Lakini kwa watu tuliosoma saikolojia niligundua kuna kitu kiko nyuma ya pazia ambacho hawa watu akiwemo mbatia hawajakisema. WITO WANGU KWA MBOWE ; Kwanza naomba utambue watanzania wengi kwa sasa tunaitegemea chadema kama ndiyo mkombozi wetu kwa haki zinazotaka kuporwa na chama tawala,hivyo kuwa makini sana hata kwenye hivyo vikao vya mashauriano,haingii akilin CCM wanawakwamisha kwenye hyo kamati kila cku zoez linaahirishwa eti nanyi leo bado mnasapoti kuahirisha,usitake kuwaamini sana lipumba na mbatia bado sina imani nao sana kwenye misimamo thabiti,unaweza ukawa unazugwa kidizaini huku wakiwa na lengo la kuivuruga CHADEMA PIA!Kwa leo ni hayo tu! MODS HUU UZI UNAJITEGEMEA NA UNAMHUSU MBOWE HIVYO USIUNGANISHWE
Tatizo la mitazamo yenu, ni kuwa akiongea kinyume na matakwa au misimamo yenu hamumuelewi; akiongea mnayotaka kusikia mnamwelewa! Ebu tuwe neutral, tusikilize hoja.
 
Umeanza na mh mbowe ukamaliza na mbowe!kwanza huna adabu na utakaua umetumwa mh mbowe nimuheshimiwa sanaa na anajitambua hicho kiushaur chako mpelekee mazaako
 
Pasi shaka kijana kamanda mbowe kasimama imara
 
I see!....."...upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM" sijui kwanini nimekumbuka haya maneno ya baba wa Taifa hili.....

Marvelous!
 
Pale klichoonekana ni kua wote pamoja walipanga kutuliza Mukali wa Wajumbe Pale Mjengoni,Kwa vyovyote vile isingekua rahisi M/kiti kutoa Maneno ya Kuahirisha tena bila Ya Wajumbe kuzomea sana,Mbowe anabusara Sana Jambo la Katiba analichukua kwa makini sana ndo maana anaamini Ushirikishwaji wa Pamoja katika Usuruhishi,Hawezi kuonyesha wazi kutofautiana na Wajumbe wengine kwenye kamati ya Usuruhishi Pale Mjengoni.Bado ni Mapema hakurupuki ovyoovyo tu.
 
Back
Top Bottom