Jamani ndg zangu watanzania 2cpotoshe jamii kwa kuongelea 7bu ziczo na tija, 2jiulize maswali yafuatayo
1. Je cc kipindi 2po shule 2liufanya mtihani huo unaoitwa kidato cha 2 kitaifa, ikiwa haifanani na watahiniwa hao kwa nchi nzima?(mtihani wa kikanda kwa kdt cha 2)
2. Je nini kipimo cha waloyalosoma kwa wahusika ikiwa hakuna mtihani wenye kuleta tija kwa masomo yao?
3. Kipindi cha haki za binadamu kilichopamba moto kuwatetea wanafunzi kuhusu kutochapwa, kutofanya kazi zozote shule ikiwa hata kufagia darasa lao wenyewe, kumwagilia na kudhubutu kuwatetea waje na cmu shuleni na kuingia nazo darasani kwa kisingizio kutokua na sheria ya kudhibiti matumizi ya cm ktk mazingira niloyataja? Tunakwenda wapi? Halafu 2waondolee mtihani wa kuleta heshima, wa kuwafanya wakumbuke kuhusu kilichofundishwa kinatakiwa kufanyiwe kazi?
Jamani ndg zng ni vyema kuyafanyia kazi 2cfikie kipindi 2kasema hata mtihani wa kidato cha nne, 6 na chuo iondolewe ikiwa mtihani wa darasa la 4 unakomaliza. 2fikiri kwa mapana, chonde chonde 2cielekeze nchi huko, ni vyema 2kaangalia madhara yake c urahic tu.