Mtikila akamatwa na polisi kwa kumkashifu Rais

Yaani Mtikila kafikia huku?

kama kamuita Mheshimiwa Rais gaidi na Muhuni, then he might spend an unexplainable amount of time in jail asipoangalia, this could be his end ! maneno aliyosema ni makali mno, tena sana ingawa ditto alitakiwa afungwe maisha pia !
 
kama kamuita Mheshimiwa Rais gaidi na Muhuni, then he might spend an unexplainable amount of time in jail asipoangalia, this could be his end ! maneno aliyosema ni makali mno, tena sana ingawa ditto alitakiwa afungwe maisha pia !

Kama kakiri mwenyewe kutukana basi anastahili kupatilizwa.
 
Polisi Wanaweza Wakawa Wanafanya Kosa Kubwa Kwa Niaba Ya Kikwete!kisheria Mtikila Sidhani Amekosea,ila Polisi Ambao Wanatakiwa Wazilinde Na Kuzisimamia Sheria Wao Wanajipendekeza Kwa Kikwete Bila Kujua Kuwa Wanammwangusha Kwasababu Sidhani Kama Kikete Ndiye Aliyeorder Ukamatwaji Wake.hivyo Basi Kutokana Na Uvurundaji Huo,mtikila Atapata Umaarufu Zaidi Kwasababu Sasa Ni Yeye Vs Kikwte!so Jina Lake Litakuwepo Kwenye Habari Kwasana!na Jela Tena Ameenda!umaarufu Ndio Zaidi!nani Amesahau Mahita Kupewa U Igp Baada Ya Kumdhibiti Mrema Ipasavyo Kwa Mabomu Ya Machozi Wakati Wa Uchaguzi Wa 1995?alipokuwa Kilimanjaro Alijipendekeza Vya Kutosha Kwa Mkapa Na Akalipwa Fadhila Kubwa!polisi Wamesahau Kwamba Hawatakiwi Kujihusisha Na Siasa Na Wanatakiwa Kulinda Usalama Wa Raia Wote Bila Kujali Itikadi Za Vyama Vyao!
 
No Sikubaliani!ili Mradi Hajahatarisha Maisha Ya Mh Rais Either Directly Or Indirectly Then Hastahili Kufungwa Maisha!freedom Of Speech Must Be Fully Practiced In A Multiparty System!sijui Walipoenda Kusachi Nyumbani Kwake Walikuta Nini Ama Ushaidi Gani,hilo Litafahamika Baadae,kama Kuna Ushahidi Mwingine,then Hilo Siwezi Ku Comment Since Siufahamu Ushahidi Huo Lakini Based On What He Said?pls!isije Ikawa Ni Yale Yale Ya Ku Create News Uli Kufifisha News Za Madai Ya Ufisadi?
 
FREEDOM OF SPEECH KWENYE VYAMA VINGI NI LAZIMA!ILI MRADI HAJAHATARISHA MAISHA YA RAIS!UGAIDI NI SAWA NA KUSEMA TERRORISM IN ENGLISH.Sasa kama ukimyanyasa mke wako huko nyumbani si ni umnamterrosise!si ndio ugaidi?si anaweza kusema mume wangu ni gaidi?sio kwamba namtetea Mtikila,ila natumia conceptual skills kulitafakari suala hili,the maoni yangu ni kwamba Mtikila kama mtanzania yoyote yule an haki ya kuzungumza kuhusu Rais wake,sio kila mtanzania atazungumza mambo mazuri kuhusu Kikwete ni lazima tuelewe hilo,nilipotoa mfano wa mke na mume hapa ndipo napotaka ufahamu ni kwa jinsi gani mfano huo unalingana na suala hili la mtikila,je Wamachinga wa Iringa walipovunjiwa vibanda vyao si walikuwa terrorised?si ni ugaidi ama?So ku conclude ni kwamba lazima tuwe na mawazo mapana zaidi wakati wa kujadili masuala yanaloligusa Taifa letu wakati huu wa mfumo wa vyama vingi!Lugha aliyoitumia Mtikila ndio imekutisha!laki anaweza kutoa defintion ya ugaidi ambayo inaweza kuendena na madai yake,mfano ni wamachinga ambao wna kila haki ya kumuita aliyewavunjia vibanda vyao GAIDI!
 
Mtikila Amekubali Kwasababu Anajua Kuwa Kesi Hii Itampa Umaharufu Na Wala Haitampeleka Jela!ni Sawa Na Kubeba Bunduki Feki Mbele Ya Polisi Na Ukijifanya Kuwa Ni Ya Kweli Huku Ukijua Kwamba Itakuja Gundulika Si Ya Kweli!ni Upotevu Wa Muda Na Fedha Za Walipa Kodi Bila Msingi!ila Kwa Upande Mwingine Itamnufaisha Mtikila Kwa Kumuongezea Umaarafu Na Kuinuifaisha Serikali Kwa Kupunguza Current News Za Madai Mengine Ie Yale Ya Ufisadi!
 

Mkuu graph ya umaarufu wa Mtikila ishafika peak, kwenye uchumi kuna "law of diminishing return" hiyo ndio ina apply kwa mtikila kilichopo sasa umaarufu wake utakuwa una increase at decreasing rate, atakuwa anafanya kosa kubwa kama anadhani kwa mtindo huu atapata umaarufu.
 
Najua kwamba Mtikila katika sifa ambazo hakujaliwa ni uchaguzi mzuri wa maneno katika kuelezea anachoamini. Nadhani huwa anaenda zaidi ya "calling a spade a spade", yeye "spade" anaiita "filthy toilet pan full of stinking shit!", sasa mimi nadhani hiyo ni too much, ingawa bado sidhani inatosha kuwahangaisha polisi kiasi hicho hadi kwenda kumweka mahabusu n.k. Kwanza amekiri, na kwa ufahamu wangu he is utterly harmless, wangemshitaki tu halafu mahakama itoe adhabu inayoona inaendana na kosa kama alivyokiri mwenyewe. It is completely senseless kumweka ndani kwani hata akikaa nyumbani kwake sidhani kama kuna madhara yoyote ambayo yangetokea.
 
Mtikila anajulikana kama ni mzee wa biashara ya kesi.
Sijui katika hili la kushambulia watu analenga nini.

Nina weza kuonekana kuwa niko tofauti kidogo, lakini kwa faida ya wana JF hili haliepukiki.
Hakuna kizuri kisicho na kasoro, pamoja na Mtikila kuwa mwanaharakati lakini amekuwa hana malengo ya kuleta umoja miongoni mwa wanachama wenzake (wanachama wake). Yeye ni miongoni mwa viongozi wabinafsi kabisa katika upinzani. Nime shakuwa naye karibu kwa nyakati fulani, he is very difficult person to deal with. Haamini mtu yeyote juu ya pesa zinazotoka kwa wafadhili zaidi ya mke wake ( na si kwa wakati wote). Na hakuna anayejua zimekuja pesa ngapi,zimetumika ngapi. Haamini mtu yeyote kufanya shughuli za chama bila idhini yake, hata kama ni jambo la kikatiba. Hakuna mikutano ya kikatiba. Anapenda wakati wote atukuzwe na ukiwatofauti na ye basi utakuwa ni adui yake instantly. Hudharau sana wanachama wake. Ukitaka uelewane naye wakati wote uwe 'yes sir'.
Kwangu mimi humsikiliza Mtikila zaidi na wala si kufuata baadhi ya matendo yake.
Hili la kumuita rais Mhuni ni ajenda za kisiasa, kuna mambo mengi hapa yanapita Hoja za Wapinzani, Mkutano Mkuu wa CCM, sasa kwa wanasiasa wanaona kuwa wanafunikwa, kwahiyo lazima watafute ajenda ya kumweka alive kwenye anga za kisiasa.
 
Nadhani upande mmoja Mtikila hajafurahishwa sana/kabisa na ujiko ambao Slaa na Zitto wamejipatia na hasa jinsi ambavyo wameweza kuitetemesha serikali kwa mambo ambayo yeye na wengine kabla yake (Warioba n.k) waliwahi kuyapigia kelele. Kwa namna fulani, nadhani alikuwa amefikia mahali pa kuona ya kuwa ni lazima jina lake na yeye likumbukwe tena na hakuna njia nyingine isipokuwa kuujaribu kuupanda mlima mkubwa zaidi. Si unakumbuka alishtakiwa kwa maneno fulani dhidi ya Mkapa, na kabla yake alitiwa kashkash kuhusu Nyerere?

Mahakamani sidhani kama watakuwa na kesi kwani Katiba iko upande wake hasa na hasa watakapoangalia "kile alichosema" katika maudhui yake na siyo kile "kilichoripotiwa kuwa amesema".

Nadhani tumefikia mahali ambapo tukubali kuwa tumeingia siasa za kimagharibi na uchafu wake wote na hivyo tutalipia pia gharama yake. Hii ni sehemu mojawapo ya gharama hizo.

Ugaidi ni Nini? -
Uhuni ni nini? -

Kama atatoa maana ya maneno hayo (aidha kwa kujitungia au yale yanayokubalika katika lugha), itakuwa ni jukumu la Polisi kuonesha ni jinsi gani kwa "kusema" hivyo amevunja sheria. Kama gazeti au Mhariri ameandika hivyo, ni rahisi zaidi kumchukulia hatua kuliko raia wa kawaida.

Hivyo tusubiri tuone the substance of the case.
 

Tuwe wa kweli hapa, hivi nikikuita mhuni na tena Gaidi, utacheka na kunikumbatia?
 

Hudhani, huna uhakika. Je Mtikila yuko juu ya sheria ( au pia hudhani / huna uhakika)
 

je kuna uwezekano kwamba ile email iliyokuwa ikielezea kwamba kuna tofauti kati ya mbowe, zitto na slaa ndani ya chadema ikawa imeandikwa na huyu mtu au atakuwa anajua nani aliyeandika ? nauliza hivi kutokana na hoja yako kusema kwamba anaweza akawa hajafurahia umaarufu wa hao viongozi uliowataja, !

(out of topic: inakuwaje DP-Democratic Party chini ya Mtikila ) hakija-make it to the UMOJA WA VYAMA VYA SIASA TANZANIA ?? sababu zozote ?
 
KWA WANAOMTETEA MTIKILA HII NI SEHEMU TU YA ALIYOYASEMA LAKINI PIA KUNA TAPE YA MAZUNGUMZO YAKE NA ALIPOHOJIWA AMEKIRI KILA KITU ILA AKATUMIA MAANDIKO KUTETEA KAULI ZAKE HIZO.
LAKINI ANASEMA JK NI RAFIKI YAKE (KAMA ALIVYO EL), SINA HAKIKA URAFIKI UNALEGALEGA KAMA ALIVYO EL.

[
 
nadhani watu itabidi wasikose makala yangu kuhusu Mahakama ya Kadhi kuanzia Jumatatu... I'm taking a straight aim at Mtikila na Mashehe..
 

a. Sidhani kama yeye ndiye mwandishi lakini sidhani kama ni nje ya vitu vinavyowezekana kuwa anamfahamu mwandishi. Naamini hajafurahia ujiko wa kina slaa na zitto, kwa sababu za wao kuonekana "wakombozi" wakati yeye ndiye anatakiwa aonekane mtetezi wa wanyonge. Nadhani ni wivu wa kibinadamu tu.

b. Ni vigumu DP kuunganika na vyama hivyo vingine kwa sababu msingi wa itikadi na falsafa zao ni tofauti sana. Akiingia kwenye umoja huo, hawezi kukubali kuwa mwezi, atataka awe jua!
 

Shukrani kwa kuchukua muda wako kunijibu !
ooooo hold right there !
nilidhani kwamba utofauti wa falsafa na sera ndio ilikuwa nia na madhumuni kuwa na vyama vingi, sasa kama hivyo vyama vingine vilikuwa vina falsafa/sera sawa kwa nini vilikuwa tofauti wakati falsafa/sera ndio hizo hizo au kama zilikuwa tofauti lakini ni kidogo sana ? au walikuwa wanafanya vile ili kujilimbikizia ruzuku kuendesha vyama vyenye nia/falsafa/sera sawa ?
kama mtikila hatoungana na sera za huo umoja, kwani ilikuwaje mara ya kwanza kabla ya huo umoja ? vilikuwa vyote vinaona mwezi ni mwezi na jua ni jua ?
Nafikiri ana nafasi pia yeye kuingia na chama chake kwenye huo Umoja ! au kuna linaloendelea lakini hatulijui ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…