Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Mchungaji Christopher Mtikila akionesha waandishi wa habari walaka wake ambao amesema atausambaza hadi nje ya nchi.
Akizungumza nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Slaam jana, Mwenyekiti huyo wa DP Christopher Mtikila ametangaza nia yake kugombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao kama mgombea binafsi.
Alisema kuwa katika uchaguzi huo utakaofanyika Oktoba mwaka huu amejipanga kuchukua fomu ya kugombea urais huku akimtaka Rais Jakaya Kikwete kujiandaa kukabiliana naye.
Lazima Rais Kikwete ajiandae kwa kuwa mimi haniwezi. Katika siasa mimi nina uwezo, naamini hivyo kwa kuwa nina roho ya Kristo ndani yangu,"alisema Mtikila.
Juzi Mtikila pamoja na kueleza sababu za kuandika waraka huo, alieleza kuwa kukamatwa kwake kulitokana na viongozi aliowatuhumu kupata presha ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika nchini Mwezi Oktoba mwaka huu.
Chanzo: Gazeti la Mwananchi
Akizungumza nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Slaam jana, Mwenyekiti huyo wa DP Christopher Mtikila ametangaza nia yake kugombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao kama mgombea binafsi.
Alisema kuwa katika uchaguzi huo utakaofanyika Oktoba mwaka huu amejipanga kuchukua fomu ya kugombea urais huku akimtaka Rais Jakaya Kikwete kujiandaa kukabiliana naye.
Lazima Rais Kikwete ajiandae kwa kuwa mimi haniwezi. Katika siasa mimi nina uwezo, naamini hivyo kwa kuwa nina roho ya Kristo ndani yangu,"alisema Mtikila.
Juzi Mtikila pamoja na kueleza sababu za kuandika waraka huo, alieleza kuwa kukamatwa kwake kulitokana na viongozi aliowatuhumu kupata presha ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika nchini Mwezi Oktoba mwaka huu.
Chanzo: Gazeti la Mwananchi