Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Wandugu,
Kama kuna watanzania ambao wamekuwa mstari wa mbele kui-challenge serikali katika masuala ya Katiba basi Mch. Mtikila ni mojawapo. Lakini mbona siku za hivi karibuni simsikii kabisa akizungumzia suala la Katiba!!! Ni nini kimetokea au mimi tu ndiyo sijamsikia??