kwani amewahi kupimwa akili yake huyu mjamaa wa kutoka NJOMBE.Mimi naamini kabisa kuwa JK anaweza kabisa kumtumia huyu jamaa.Mtikila ni chizi nayefanya kazi na mtu yeyote ili mradi tu mkono uende kinywani.
Kikwete is so insecure, hii nchi anaichukua, labda ajikojolee kwenye mimbari.
Sasa hizi rafu za rushwa kama anagombea tena 2005 (this time hagombei, anapitishwa tu) ndizo zitakazomu expose na kumfanya aonekane how insecure he is.
I mean this time ana vyombo vyote vya serikali, na tume ya uchaguzi, anaweza hata kushindwa na kugeuza matokeo bila shida, ana taabu gani ya kuanza kuhonga na machinations zote hizi?
Some people are just insecure no matter what.
Na kisha imekwishanenwa...atakayempinga atafariki ghafla!Kikwete is so insecure, hii nchi anaichukua, labda ajikojolee kwenye mimbari.
Sasa hizi rafu za rushwa kama anagombea tena 2005 (this time hagombei, anapitishwa tu) ndizo zitakazomu expose na kumfanya aonekane how insecure he is.
I mean this time ana vyombo vyote vya serikali, na tume ya uchaguzi, anaweza hata kushindwa na kugeuza matokeo bila shida, ana taabu gani ya kuanza kuhonga na machinations zote hizi?
Some people are just insecure no matter what.
mimi binafsi sioni kosa la mtikila, yeye alikuwa anaeleza maoni yake binafsi, hasa akizingatia nchi hii ni ya kidemokrasia. hapa napata hofu sana, na zaidi sana kwenye kesi hii mkono wa raisi na hakika upo, kwa sababu raisi anafahamu kuna kesi ya namna hii, kama angekuwa kinyume nayo angeisimamisha. kama alivyoweza kuingilia kesi ya br. dito na wengine wengi aliyo wasaidia km kina rostam. hii kesi inaonyesha kwa kiasi gani raisi hataki kukosolewa, hivyo kuonyesha kiwango chake kidogo cha kujiamini na utendaji.
mwisho. lawama zangu zote zinaenda kwa wandishi wa habari badala ya kuonyesha nchi hii hakuna demokrasia wanatuonyesha namna gani mtikila hafai. hapa kikwete ndio hafai badala ya kuendesha nchi kidemokrasia anaiendesha nchi kibabe,mtu asiseme lolote kuhusu raisi kwani waandishi badala ya kuonyesha kikwete hafai wanatuambia mawaziri wa kikwete wameoza, wataoza vipi wao kabla ya kikwete. waandishi acheni kuzunguka mbuyu muwe wakweli. fimbo inayo muuwa nyoka yaweza kumuwa binadamu.