Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya pata picha katikati Una kipara.... Ndio utajua ujui...ni sawa na kuandika plate number ya jina lako kwenye pikipiki.........Nywele yyte si inawezwa kubadilishwa ikawa ivo?
[emoji23][emoji23]Haya pata picha katikati Una kipara.... Ndio utajua ujui...ni sawa na kuandika plate number ya jina lako kwenye pikipiki.........
Haya pata picha katikati Una kipara.... Ndio utajua ujui...ni sawa na kuandika plate number ya jina lako kwenye pikipiki.........
Shukrani Sana nimepata mwanga kidogoInategemea na aina ya nywele yko zingatia hili kwanza lakn pia Kama una nywele lain na ndefu Kama za mshkaj wanazicrotch ndio zinaleta iyo michilizi ya kulala
Baada ya hapo Kuna olive unapakwa au kuspray itategemea na anaekuhudumia Ana aina gan ya olive
[emoji16]Pretty boy..[emoji23][emoji23]
Wanakuja
HhahhahahaKijana, nakuona sooner utahamia Sinza ama Kinondoni.....
Naomba niishie hapa