Hii naona na gharama za kuezeka zitakuwa nafuu zaidiHabari!
Wana Jf Nina boma langu style hii inayoonekana pichani naipenda sana kwani haijaingia sana mtaani hasa maeneo niliosimika boma langu af pia kutokana na kipato changu 200k naona nitampuguza gharama nyingi hofu yangu sijui kesho ya hili nililo chagua mnaojua changamoto za style hii nijuzeni
View attachment 2270314
Kule kijijini kwetu nimekuwa tangu nikowa mtoto nyumba kama hizo naziona na zimejengwa kwa matofauli ya kuchoma na udongo wa kawaida tu na zimedumj hadi leo.Habari!
Wana Jf Nina boma langu style hii inayoonekana pichani naipenda sana kwani haijaingia sana mtaani hasa maeneo niliosimika boma langu af pia kutokana na kipato changu 200k naona nitampuguza gharama nyingi hofu yangu sijui kesho ya hili nililo chagua mnaojua changamoto za style hii nijuzeni
View attachment 2270314
Kwan ni ghorofa?Kwanza tofali unatakiwa ulaze ili ziweze kuhimili mzigo utakaokuja juu pia usiwe mbahili kwenye kanuni za zege yaani Nondo ziwe imara ratio nayo iwe nzuri
Hata km ni Nyumba ya chini km juu unataka kuweka mzigo mkubwa inabidi msingi uwe imara kuepuka crackers ambayo inaweza pelekea zege la juu nalo kutengeneza njia za maji kuvujia ndaniKwan ni ghorofa?
Ok jee kama anaweka bati?Hata km ni Nyumba ya chini km juu unataka kuweka mzigo mkubwa inabidi msingi uwe imara kuepuka crackers ambayo inaweza pelekea zege la juu nalo kutengeneza njia za maji kuvujia ndani
Nyumba ndogo ila imetulia.Habari!
Wana Jf Nina boma langu style hii inayoonekana pichani naipenda sana kwani haijaingia sana mtaani hasa maeneo niliosimika boma langu af pia kutokana na kipato changu 200k naona nitampuguza gharama nyingi hofu yangu sijui kesho ya hili nililo chagua mnaojua changamoto za style hii nijuzeni
View attachment 2270314
Watu jf kwa porojo akikipa niko paleKama una ramani yake naomba(floor plan)
Sijakuelewa mkuuWatu jf kwa porojo akikipa niko pale