Mtindo mpya wa ujenzi Tanzania hiden roof (contempolary)

Mtindo mpya wa ujenzi Tanzania hiden roof (contempolary)

EJOSMAT

Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
32
Reaction score
19
Contempo.(hiden roof) ni mtindo mpya wa ujenzi wa nyumba Tanzania lakini wengi wanaishia kupata hasara kwasababu wanajenga bila kua na michoro ya kitaalamu hivyo zinaishia kuvuja.

Ili ujenge mtindo huu unatakiwa kwanza kuwasiliana na wataalamu wa ramani wakuandalie mchoro hutapata shida wasiliana nao kupitia 0717 040 837

p4.jpg
p3.jpg
p4.jpg
p2.jpg
p9.jpg
 
Mbona huu siyo mtindo mpya sema siku hizi hazijengwi tena.
Huuu ni muundo wa zamani sana, miaka ya 70's, ingawa hivi sasa umekuja na nakshi nakshi za kisasa. Niliwahi kuona hizi ramani kwenye kitabu cha miaka hiyo ( ninacho hicho kitabu), nitaweka picha zake hapa.
 
Huuu ni muundo wa zamani sana, miaka ya 70's, ingawa hivi sasa umekuja na nakshi nakshi za kisasa. Niliwahi kuona hizi ramani kwenye kitabu cha miaka hiyo ( ninacho hicho kitabu), nitaweka picha zake hapa.
ni kweli kuna maeneo baadhi ya miji mijengo hayo bado ipo
 
Hivi ramani za sample ya hizo nyumba ni hizohizo tuu? Maana naona kila mtaalam anazileta utafikiri mnadeseana
 
Wabongo bwana...

Kuficha bati tu tayari mtindo wa nyumba waitwa "contemporary"...

Mtindo wa nyumba hautafsiriwi kwa muonekano wa nje tu bali ni details zote nje, ndani na hata kwenye landscaping hadi staging (mpangilio wa vitu vya ndani) n.k...

Nyumba nyingi za Kitanzania haziingii kwenye mitindo ya kimagharibi kwa kuwa tunajenga nyumba huku ikiwa na vionjo "characters" vingi...
 
Wabongo bwana...

Kuficha bati tu tayari mtindo wa nyumba waitwa "contemporary"...

Mtindo wa nyumba hautafsiriwi kwa muonekano wa nje tu bali ni details zote nje, ndani na hata kwenye landscaping hadi staging (mpangilio wa vitu vya ndani) n.k...

Nyumba nyingi za Kitanzania haziingii kwenye mitindo ya kimagharibi kwa kuwa tunajenga nyumba huku ikiwa na vionjo "characters" vingi...
"Exactly "
 
Huuu ni muundo wa zamani sana, miaka ya 70's, ingawa hivi sasa umekuja na nakshi nakshi za kisasa. Niliwahi kuona hizi ramani kwenye kitabu cha miaka hiyo ( ninacho hicho kitabu), nitaweka picha zake hapa.
Mwambie atembelee kilosa kilwa na pangani nyumba zzamiaka ya 50 na 60 ndio walijenga hvyo
 
Hizo nyumba zenye hidden roof zimejaa sana Iringa na zilijengwa kitambo vijana wa leo wasitusumbue
 
Ukiwa na ramani zetu utajenga nyumba inayovutia sana na kwa bajeti nafuu

Wasiliana nasi leo upate ramani na makadilio ya ujenzi kwa whatsapp 0717 040 837 / 0767 267 664
Screenshot_20210216-125536_WhatsAppBusiness.jpg
Screenshot_20210218-131925_Instagram.jpg
Screenshot_20210218-132237_Instagram.jpg
Screenshot_20210226-203419_Instagram.jpg
Screenshot_20210226-211201_Instagram.jpg

Screenshot_20210216-125536_WhatsAppBusiness.jpg
Screenshot_20210218-131925_Instagram.jpg
Screenshot_20210218-132237_Instagram.jpg
Screenshot_20210226-203419_Instagram.jpg
Screenshot_20210226-211201_Instagram.jpg
 
Pata ramani ya nyumba yako mwezi huu mtukufu kwa bei ya ofa

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa simu / whatsapp +255 717 040 837 / 0767 267 664.

IMG-20210302-WA0016.jpg


IMG-20210302-WA0018.jpg


IMG-20210302-WA0032.jpg


IMG-20210310-WA0018.jpg


IMG-20210310-WA0035.jpg


IMG-20210312-WA0015.jpg


IMG-20210411-WA0035.jpg


IMG-20210411-WA0038.jpg
 
Back
Top Bottom