structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 907
- Thread starter
-
- #21
Upo sahihi kabisa. Hata kwa sasa,(mida hii) naangalia ITV "hawavumi lakini wamo" huyo binti anayehojiwa kapiga suruali ilochanwa magotini. Namna hii pia kupata sapoti itakuwa ngumuHii fashion na inipite tu,naonaga kama ni uhuni flani hivi?
Siwezi kabisa kuvaa suruali ya kuchanika.
Huo ndio ukweli. Heshima ya mtu inanza kwa muonekanao. Na kwa uhalisia ni.kwamba suruali zilizochanwa sio kabisa.Hii fashion na inipite tu,naonaga kama ni uhuni flani hivi?
Siwezi kabisa kuvaa suruali ya kuchanika.
chachachaUkizipata sehemu ukaziuza utapiga hela sana, usisahau na chacha.
chachacha
enzi zetu hizo[emoji106] [emoji106]Umri umeenda mkuu, ahsante kwa masahihisho
Ndio maana nataka nikuoe... maana hupendi uhuni.. sasa sema nitoe ng'ombe, pesa au shamba?Hii fashion na inipite tu,naonaga kama ni uhuni flani hivi?
Siwezi kabisa kuvaa suruali ya kuchanika.