OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
😀😀😀😀Mtiririko(trend) wa Simba kwa mechi 5 mfululizo
Ndanda 0-2 Simba
Simba 4-0 Singida
Kagera Sugar 0-2 Simba
Simba 4-0 Majimaji
Ruvu Shooting 0-Simba 3
Unaweza kuona kutokana na mtiririko huo mechi ya ''Zimba'' na Yanga inadondokea kwenye 4G. Kwa maana nyingine upo uwezekano wa Yanga kupigwa 4 bila. Ni vyema mashabiki na uongozi wa Yanga ukajiandaa kisaikolojia badala ya kuletea lawama makocha na wachezaji.
Jifariji tu na wewe,kipigo kinakuhusu. Mwenzio akipigwa para wewe tia maji. Kichuya anakujaJifariji tu
Kipigo hakipo hata akicheza Kabwili golini na Yoso wetu wengine..najua mko vizuri idara zote lkn madhara yenu hayaifikii YangaJifariji tu na wewe,kipigo kinakuhusu. Mwenzio akipigwa para wewe tia maji. Kichuya anakuja
[emoji3]Ukaona ukiitaja Man U Mfano utakua mtamu zaidi.??Hivi ikitokea kuwa Yanga imeona mwezi yakatokea yale yale ya Azam sijui huu utabiri wako utauita nini. Mpira ni dk 90 kabla ya hapo kaa kimya. ManU iliwahi mtandika mtu goli 3 kwa 1 kwenye kipindi cha extra time ya 5 min. Nao walikuwa nyuma 1 bila.
[emoji3]Ukaona ukiitaja Man U Mfano utakua mtamu zaidi.??
Hata Jana Singida United alitangulizwa mbili..na kashinda extra time
Ni kunogesha jamvi tu Kaka.. hamna tatizo lolote ..tuko pamoja[emoji106][emoji106]Samahan hilo la jana sijalisikia nami sipendi ushuhuda sina uhakika nao. Nisamehe kwa kuwataja walio sio wa kwetu. Mi ni mzalendo sana tu
Chirwa atapitia wapi mbona sioni upenyo. Zimeshindwa kupita timu 5 hata la kufutia machozi ataweza ChirwaMfunge Azam kwanza ...Nyoni na Mlipili dk 90 Chirwa asifunge kweli ..
wewe ni jipu..kuna siku utalia.Mtiririko(trend) wa Simba kwa mechi 5 mfululizo
Ndanda 0-2 Simba
Simba 4-0 Singida
Kagera Sugar 0-2 Simba
Simba 4-0 Majimaji
Ruvu Shooting 0-Simba 3
Unaweza kuona kutokana na mtiririko huo mechi ya ''Zimba'' na Yanga inadondokea kwenye 4G. Kwa maana nyingine upo uwezekano wa Yanga kupigwa 4 bila. Ni vyema mashabiki na uongozi wa Yanga ukajiandaa kisaikolojia badala ya kuletea lawama makocha na wachezaji.
Kweli apambane na hali yake.Mfunge Azam kwanza ...Nyoni na Mlipili dk 90 Chirwa asifunge kweli ..