Dollar hermees
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 517
- 1,045
Wakuu salaam,
Wacha niende moja kwa moja katika mada Tajwa hapo juu. Nimekua na mtizmo tofauti kidogo ambao nimejaribu kuchukua hatua kidogo kuufanyia utafiti, na nimekuja kuona kama kuna ukweli fulani.
Wanawake walio jichora tatoo wengi wao wana hulka za kuwa cheap yani haupati shida uki muhitaji. yani kwa sasa nimefikia hatua naona demu akiwa na tatoo niki muhitaji wakati wowote naweza mpata bila shida.
Wakuu naomba maoni yenu kama mtizamo wangu huu uko sawa au mwaonaje.
ko hadi kunyoa ni dhambMAMBO YA WALAWI 19:27-18.View attachment 1220464
Aisee?Yaani ukioa mwanamke aliyechora tattoo jua ni cha wote
Mkuu unatutisha sana hii habari ina utafiti wowowte lakini?
kuchora tattoo sh ngap na kujengea kaburi sh ngap?Ayo ni mawazo yenu na kila mtu ana mtazamo wake..binafsi nimeshabook kuchora tatoo ya sura ya mama angu next week sababu sina picha yake kwenye cm angu ila kwenye album zipo lakini naona hazitadumu na napenda niwe na kitu mda ote ambacho nikikiona ni kama namuenz mama angu RIP...kaburi lake nimeshindwa kulifanya imara mana sina ela na ndugu baada ya kuzika wapo bze na mambo yao sasa ntamuenz vpiii na sitaki ibada za makaburini mimi kila mwaka..najua ni dhambi ila sura ya mama angu lazma ikae kwenye mwili wangu.
Kwanini huwezi kuchora mrembo ?Hayo ni mawazo yako tu mkuu. Tattoo ni kama urembo na nikiona mtu kachora nafurahi sana.
Tatizo mi siwezi kuchora ila ningekua na ubavu ningeshachoraga
Kwanini huwezi kuchora mrembo ?
Okay,kwahiyo wewe kama ungekuwa una ubavu ungependa kuochora wapi yaani sehemu gani ya mwili wako ?Naogopa kutobolewa plus naangalia mbele zaidi. Tattoo zinakosesha watu fursa kwa mawazo kama haya kuwa tattoo ni uhuni
Okay,kwahiyo wewe kama ungekuwa una ubavu ungependa kuochora wapi yaani sehemu gani ya mwili wako ?
Okay,nilitaka nikupe ofa lakini sababu huna ubavu ngoja nibaki na ofa yangu.Kifuani yani
Okay,nilitaka nikupe ofa lakini sababu huna ubavu ngoja nibaki na ofa yangu.
Kuna mtindo mzuri wa kuchora bila maumivu.Sina jeuri hiyo ya kutobolewa na sindano japo napenda tattoo
Mimi naweza kukupa hiyo jeuri na ukachora vizuri tu.Sina jeuri hiyo ya kutobolewa na sindano japo napenda tattoo
Mimi naweza kukupa hiyo jeuri na ukachora vizuri tu.
Kweli nakwambia.Wewe?? Embu usitake kunichekesha usiku huu mkuu