Kweli nakwambia.
Usiniite mkuu. Naomba nikutafute ili nikuelekeze vizuri.
Tatoo ni mshkaji angu nampa ela ndogo tuu ya asantekuchora tattoo sh ngap na kujengea kaburi sh ngap?
wanachora upuuz unaanzaje kujichora jina la mpenzi kama sio upuuz au eti unachora ua kwenye tako lazma ujute baadae mana utajiona kama kahaba.Wengi waliojichora baadae wanakuja kujuta, na wanatamani kuziondoa.
Ushahidi ninao
Kweli sitaweza.Huwezi. Kama mtu niliempenda nilimgomea we utawezaje mkuu?
Dah!Zaidi ya 70% ya mademu wenye tatoo wana ngoma
Ninajua nnaachokiongea
Any ways unamchukuliaje kwa mfano mtu anapokua na tatoo na akawa ndio kiongozi wako wa dini??Hayo ni mawazo yako tu mkuu. Tattoo ni kama urembo na nikiona mtu kachora nafurahi sana.
Tatizo mi siwezi kuchora ila ningekua na ubavu ningeshachoraga
Ukisoma mambo ya walawi si unaweza usiishi[emoji23]MAMBO YA WALAWI 19:27-18.View attachment 1220464
Mungu wangu nina chale hadi kwenye nanilii yangu ila nilichanjwa nikiwa mdogo sana so nimekuwa nimezikuta je nipo kundi gani mkuu?Kujichora tattoo ni moja wapo ya ibada za kishetani...kwahiyo anayejichora chora na kujichanja chale ni mfuasi rasmi wa shetani.
Usije chora tattoo mpenzi wangu.Naogopa kutobolewa plus naangalia mbele zaidi. Tattoo zinakosesha watu fursa kwa mawazo kama haya kuwa tattoo ni uhuni
HahahahahahahaMungu wangu nina chale hadi kwenye nanilii yangu ila nilichanjwa nikiwa mdogo sana so nimekuwa nimezikuta je nipo kundi gani mkuu?
Usije chora tattoo mpenzi wangu.
Sio wote.Wakuu salaam,
Wacha niende moja kwa moja katika mada Tajwa hapo juu. Nimekua na mtizmo tofauti kidogo ambao nimejaribu kuchukua hatua kidogo kuufanyia utafiti, na nimekuja kuona kama kuna ukweli fulani.
Wanawake walio jichora tatoo wengi wao wana hulka za kuwa cheap yani haupati shida uki muhitaji. yani kwa sasa nimefikia hatua naona demu akiwa na tatoo niki muhitaji wakati wowote naweza mpata bila shida.
Wakuu naomba maoni yenu kama mtizamo wangu huu uko sawa au mwaonaje.
kama menina ana bonge la tatoo kwenye pajaSiku zote Demu mwenye tattoo natumiaga condom
haya ni mambo ya walawi mkuu hayatuhusu sisi WatanganyikaMAMBO YA WALAWI 19:27-18.View attachment 1220464
Hina au piko je?Kujichora tattoo ni moja wapo ya ibada za kishetani...kwahiyo anayejichora chora na kujichanja chale ni mfuasi rasmi wa shetani.
haya ni mambo ya walawi mkuu hayatuhusu sisi Watanganyika