Izy_Name
JF-Expert Member
- Apr 9, 2020
- 772
- 1,733
Ningependa kutoa ushauri wangu juu ya tathmini fupi nilioifanya kwa macho na kwa kutafakari juu ya baadhi ya idara mbalimbali hapa nchini.
1. Nikianza na TISS ningependekeza kuwe na idara mbili zenye kufanya kazi sawa na TISS bila ya kuwa ushilikiano wa aina yeyote wa kiutendaji katika majukumu.
- Hii itasaidia kuongeza umaridadi katika utendaji wa kazi za kiupelelezi kati ya TISS na X kwani kutaongeza umahili kutokana na kuwa na ushindani wa kutafuta na kufukunyua majawabu mbalimbali.
- Itasaidia kupunguza mambo ya siasa katika hizi idara nahata kupunguza kabisa kuingiliana na wanasiasa kama ilivyo sasa sababu kuu itakuwa kuonesha umahili.
2. Jeshi la polisi kuna baadhi ya mambo naona hayako sawa.
- Kwa upande wa jeshi la polisi ile kanuni/sheria/utaratibu etc ya kwenda polisi bure kutoka pesa iondolewe au ifutwe maana hii ndiyo chanzo cha kamatakamata hovyo mitaani (watu wanakamatwa bila hatia kumtoa kituoni mpaka pesa, kuna watu wamekaa selo kisa wamekosa ndugu wa kuwatolea TSH 10,000 tu) hii polisi wameifanya kama njia ya kujipatia kipato kwa njia za kionevu.
- Kama utaratibu huu utafutwa watu walioko selo na jail watapungua maana hamna polisi atakae ingia mtaani kukamata raia na wakati anajua hatapata kitu, na kesi za kubambikiwa zitapungua.
- Mdhamana iwekwe wazi na raia waelewe kuwa ni bure ili kupunguza utapeli wa polisi.
- Endapo mtuhumiwa ikibainika hana kosa aachiwa aondoke bila kulipa freely na ikibidi alipwe muda wake (Hii itahusu zaidi mahakani kama akitaka kufungua kesi ya kupotezewa muda + mateso ya polisi).
NB. Asilimia kubwa ya kesi nyingi za uzurulaji na uzembe ni uhuni wa polisi.
3. Mahakama iwe makao makuu inayofuatilia shughuli zote za mahakama nchi zote kwa real time.
- Kama mahakama zitakuwa na makao makuu inayofuatilia shughuli zote za mahakama nchi nzima hii itasaidia kupunguza rushwa na kunyimwa mdhamana bila sababu za msingi, kwa sababu hakutokuwa na uwezekano wa judge kupindisha sheria wakati anajua kuna
1. Nikianza na TISS ningependekeza kuwe na idara mbili zenye kufanya kazi sawa na TISS bila ya kuwa ushilikiano wa aina yeyote wa kiutendaji katika majukumu.
- Hii itasaidia kuongeza umaridadi katika utendaji wa kazi za kiupelelezi kati ya TISS na X kwani kutaongeza umahili kutokana na kuwa na ushindani wa kutafuta na kufukunyua majawabu mbalimbali.
- Itasaidia kupunguza mambo ya siasa katika hizi idara nahata kupunguza kabisa kuingiliana na wanasiasa kama ilivyo sasa sababu kuu itakuwa kuonesha umahili.
2. Jeshi la polisi kuna baadhi ya mambo naona hayako sawa.
- Kwa upande wa jeshi la polisi ile kanuni/sheria/utaratibu etc ya kwenda polisi bure kutoka pesa iondolewe au ifutwe maana hii ndiyo chanzo cha kamatakamata hovyo mitaani (watu wanakamatwa bila hatia kumtoa kituoni mpaka pesa, kuna watu wamekaa selo kisa wamekosa ndugu wa kuwatolea TSH 10,000 tu) hii polisi wameifanya kama njia ya kujipatia kipato kwa njia za kionevu.
- Kama utaratibu huu utafutwa watu walioko selo na jail watapungua maana hamna polisi atakae ingia mtaani kukamata raia na wakati anajua hatapata kitu, na kesi za kubambikiwa zitapungua.
- Mdhamana iwekwe wazi na raia waelewe kuwa ni bure ili kupunguza utapeli wa polisi.
- Endapo mtuhumiwa ikibainika hana kosa aachiwa aondoke bila kulipa freely na ikibidi alipwe muda wake (Hii itahusu zaidi mahakani kama akitaka kufungua kesi ya kupotezewa muda + mateso ya polisi).
NB. Asilimia kubwa ya kesi nyingi za uzurulaji na uzembe ni uhuni wa polisi.
3. Mahakama iwe makao makuu inayofuatilia shughuli zote za mahakama nchi zote kwa real time.
- Kama mahakama zitakuwa na makao makuu inayofuatilia shughuli zote za mahakama nchi nzima hii itasaidia kupunguza rushwa na kunyimwa mdhamana bila sababu za msingi, kwa sababu hakutokuwa na uwezekano wa judge kupindisha sheria wakati anajua kuna