Mtoni Raha Sana Dah

Tutafika huko kama tukitumia akili zetu vizuri! Kwa sasa ngoja tuendelee kuburuzwa na " weusi" wenzetu.
 
ingekuwa kwa jiwe unakatwa hicho kidole afu unadumbukiziwa[emoji2]
 
Lissu angefurahia Sana.

[emoji16]mkuu, comment yangu sio ya kisiasa, ni ukweli tu nimesema na wala sio kibaya,udikteta wa Africa una faida zake na moja wapo ni hiyo rais wa Africa hawezi tukanwa hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…