mtoto 1yr kutokwa usaha sikioni.

KIOO

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
6,235
Reaction score
5,854
'heshima wakuu,nna tatizo la mtoto kutokwa na usaha kwenye sikio ni nini sababu ya tatizo hilo na pia ni jinsi gani ya kutibu ikiwa ni dawa basi dawa gani atumie ili aweze kuwa okay ni mtoto wa mwaka mmoja na nusu..............ahsanten'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…