Mtoto abakwa hadi kufa Mbagala, Mwili watupwa kwenye pagala

HAPANA - unaweza kuthibitisha hilo? Kwa nini isiwe ni (1)uzembe wa wazazi (2) madawa ya kulevya(esp. Bhangi) (3) Chizi/Kichaa n.k. n.k.
Tumia common sense, hivi unawezaje kubaka kitoto cha miaka mitano? Hata uvute bangi kiasi gani huwezi fanya huo upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…