MTOTO akifanana na BABA huyo ni WAKE kwa 100%, akifanana NA Mama YAKE...hAPO KUNA NENO.........

MTOTO akifanana na BABA huyo ni WAKE kwa 100%, akifanana NA Mama YAKE...hAPO KUNA NENO.........

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,217
Habari zenu wana MMU.We husika na kichwa cha habari hapo juu moja kwa moja kama kinavyo jieleza kama ni kweli au si kweli.......


LIKE.jpg

FUNGUKA HILO NENO SASA.....................
 
Acha watoto wafate kwa mama! Midingi mingi sura za kazi, sasa mtoto wa kike afu akifata kwa baba yake inakuwa sio ishu kabisaaaaa!

Kuna watu wakiwa wajawazito wanakesha na kuomba watoto wasifate kwa baba zao, manake matfutano!
 
Acha watoto wafate kwa mama! Midingi mingi sura za kazi, sasa mtoto wa kike afu akifata kwa baba yake inakuwa sio ishu kabisaaaaa!

Kuna watu wakiwa wajawazito wanakesha na kuomba watoto wasifate kwa baba zao, manake matfutano!

habari ya siku lala 1,ha ha ha ha ha ha ha si tuna misura mibaya....wasalimie chit-chat,mpe salamu laazizi wangu ARABELA.
 
akifana na baba vzr afanane na mama ni vzr zaidi
 
Huu ndio tunauita uchawi au ramli
 
Acha watoto wafate kwa mama! Midingi mingi sura za kazi, sasa mtoto wa kike afu akifata kwa baba yake inakuwa sio ishu kabisaaaaa!

Kuna watu wakiwa wajawazito wanakesha na kuomba watoto wasifate kwa baba zao, manake matfutano!

nashukuru face ya mzee wangu is happening aisee maana tumefanana kama vijiko.....
 
Kwa utafiti wangu, kwa % kubwa, rangi/pigment ya watoto wa kike inakuwa ya mama, wakati ya watoto wa kiume inakuwa ya baba
 
Muda wa watu kwenda kazini huu jamani, utawafanya wengine waanze kuwachunguza watoto wao ambao wapo nae kwenye gari kuwapeleka shuleni. Hata hivyo, ni idea nzuri kuwafanya akina baba wakae na watoto wao kwa karibu angalau leo tu manake si ajabu leo wakarudi mapema ili wakawachunguze hao watoto!
 
Asa em fikiria kama baadhi ya viongozi wetu wa ngazi za juu, hivi mabinti zao wakifanana nao si balaa hilo?DNA ina-huu lakini Mungu atusaidie sana
 
Kuna wale husemwa wamefanana na babu au bibi yao aliyefariki mwaka 1947....
 
Eh? Mwanangu wa kiume ni kopi yangu. Urefu tu ndio wa babake. Sasa hapo vipi?
 
Muda wa watu kwenda kazini huu jamani, utawafanya wengine waanze kuwachunguza watoto wao ambao wapo nae kwenye gari kuwapeleka shuleni. Hata hivyo, ni idea nzuri kuwafanya akina baba wakae na watoto wao kwa karibu angalau leo tu manake si ajabu leo wakarudi mapema ili wakawachunguze hao watoto!
ila ukaguzi wako uwe wa amani na upendo
 
Mie nilikuwa naomba Mungu mwanangu afanane na mimi.
Na hatimaye nimefanana nae,ila sasa amechukua mpaka umbo langu halafu yeye ni mtoto wa kiume,patamu hapo.

Ila akina baba wengine sura zao za Mbuzi,sasa huo ubandidu wao akauweke usoni kwa mwanangu!!
Akha.
Bora mtoto afanane na mama yake. Period!!!
 
Back
Top Bottom