MTOTO akifanana na BABA huyo ni WAKE kwa 100%, akifanana NA Mama YAKE...hAPO KUNA NENO.........

Asa em fikiria kama baadhi ya viongozi wetu wa ngazi za juu, hivi mabinti zao wakifanana nao si balaa hilo?DNA ina-huu lakini Mungu atusaidie sana

kwa hiyo mkuu unamaanisha waziri mkubwa na yule aliyeongeza machafuko geita?
Duh!
Wallah! Jf kiboko!
 

madame B MAMBO VIPI???? umemkopisha mwanao na wewe....subiria tume huru.
 
Acha watoto wafate kwa mama! Midingi mingi sura za kazi, sasa mtoto wa kike afu akifata kwa baba yake inakuwa sio ishu kabisaaaaa!

Kuna watu wakiwa wajawazito wanakesha na kuomba watoto wasifate kwa baba zao, manake matfutano!
kukesha mbona cha mtoto. Mkome kuchagua wachumba kwa kigezo cha pochi
 
Sio kweli kabisa ndugu yangu,je kama baba ana mdogo au kaka yake wanafanana copyraiti hapo utasemaje?
Habari zenu wana MMU.We husika na kichwa cha habari hapo juu moja kwa moja kama kinavyo jieleza kama ni kweli au si kweli.......



FUNGUKA HILO NENO SASA.....................
 
Acha watoto wafate kwa mama! Midingi mingi sura za kazi, sasa mtoto wa kike afu akifata kwa baba yake inakuwa sio ishu kabisaaaaa!

Kuna watu wakiwa wajawazito wanakesha na kuomba watoto wasifate kwa baba zao, manake matfutano!


Hahahahahahahaha umechemka leo
 
Uzuri wa humu ndani watu mnajielewa, mnajaza nafasi zilizo wazi..:smile-big:
 
Yani mie nlinunaje nlivooneshwa mwanangu...carbon n copy ya baba yake! Watu wana damu kali aisee...ukiambiwa sio mwanangu unakubali! Lols
 
Mtoto wa kiume anafanana na anko zake! Duh....hapo DNA inahusika zaidi!

Sioni ubaya hapo coz wajomba ni sawa na mama yao km genes zao ni strong lazma ufunikwe na ukifanya Dna watt ni wako!
 
Mtoto hata ucpomfananisha km ni wako u can fil it in ur nerves,na kunakua na strong natural attraction btn the 2 of U!
Unaweza ukafanana copy ryt na mtt ukaja jua ulizalishiwa na mdg wako,kaka ako ht baba ako,the shit happens!!!
so kufanana saana co gurantii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…