Mtoto akilea Mtoto Mwenzake

Kijijini hii ni kawaida but, aliyebebwa mbona mkbwa sana? Na aliyebeba kama vile hawezi kunyanyuka nae?
Au dogo kalala then hawezi kumlaza, so imebidi akae ili apumzike wakati dogo anachapa bonji.
Inahuzunisha!
 

Mkuu Masaki ukiwaangalia hawa watoto kwa karibu wanafanana, labda huyu mkubwa alikuwa akicheza hivyo alikulupushwa na kumchukua dogo bila ya kuvaa viatu, tazama nguo yake pia sio mbaya, hapo labda dogo anapatwa na donge kwa nini ameachishwa mchezo kwa sababu ya mdogo wake, mi pia nakumbuka tulikuwa tukigombania kubeba watoto hata wa jirani yako kama wewe hauna mdogo wako hila yote yanawezekana: House girl, mama wa kambo, mdogo wake tumbo moja, mama mmoja baba mmoja au hata ni utashi wake inawezekana amebeba mtoto wa jirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…