Mtoto aliyekojolea Kurani hana kesi ya kujibu

Allah hakika hashidwi na jambo lolote na ameonyesha nguvu zake............
 
wendawazimu ni fununu.
 
100% naungana nawe! Nanimegundua ki2 kimoja km yule mtoto angedhulika baada ya kukojelea {kuran} nazani hawa nduguzetu wangefurahia lkn tatizo ni kwamba ajadhulika na ndomaana wanataka kufanya fujo!!
lugha yako ya taifa inakushinda.jifunze kwanza lugha halafu rudi jamvini.
 
Kakija tu mtaani lazima tukakate kichwa ili liwe fundisho kwa wengine wanaochezea vitabu vya mungu, the same applies kwa yule atakayekojelea bibilia
 

STUPIDITY! Simple!
 
Kakija tu mtaani lazima tukakate kichwa ili liwe fundisho kwa wengine wanaochezea vitabu vya mungu, the same applies kwa yule atakayekojelea bibilia

Toa upuuzi wako kuwasemea wakristo. Mungu wa wakristo si dhaifu km wenu hadi ategemee mkono wa binadamu kumtetea. Magaidi nyie!
 

Mtoto yupi.
 
Toa upuuzi wako kuwasemea wakristo. Mungu wa wakristo si dhaifu km wenu hadi ategemee mkono wa binadamu kumtetea. Magaidi nyie!
Acha kutoa mapovu, changia maada. Mwenye kukojolea vitabu vitakatifu shurti ashughulikiwe bila kujali kakojolea kitabu cha dini gani.
 
Ni kweli hana kosa hakuna aliyemuona akikojolea hakuna uthibitisho kuwa kilicholowesha ni mkojo na tena mkojo wa huyo mtoto hadi hapo hana kesi ya kujibu
 
Kwa kweli sina shaka tena uislam na waislam ni tatizo katika dunia yetu ya leo iliyostaarabika. Hawa jamaa ni janga si tu la kitaifa bali la kidunia.
 
k
mimi nilivyokuelewa unahitajika uende darasani ukajifunze tena
Hbari hii viongozi watatu walitoa taarifa kwa umma, hawakusema hivyo ndiyo maana nasema rudi shule tena nitakukumbusha viongozi wao walikuwa kova.sadiki sadiki na shehe wa dsm jina limenipita kando.lakini naomba nikuulize
1.kwa usemi wako huyo kijana alipokuwa anacheza mpira aligunduaje qourani imekojolewa
2.mahali alipokuwa ameiweka hiyo qurani alikuwa anauhakika gani kama hakuna mkojo au mate pale chini yaani kama watu hawajapakojolea?
 
Mh dini nyingine zinaendekeza uadui badala ya utu wema na upole asante mungu kwa kutoniweka mahala pasipokuwa na upendo.Dumisheni upendo muache roho za kwanini,ili maisha yenu yazidi kuwa marefu katika dunia hii.
 
Toa upuuzi wako kuwasemea wakristo. Mungu wa wakristo si dhaifu km wenu hadi ategemee mkono wa binadamu kumtetea. Magaidi nyie!

Alah kumbe wakiristo wanamungu wao?huyo mungu wenu anaitwaje?usijaribu kuwadanganya nakuwapoteza watu huu muda unaotumia net nibora ungeshika bblt uisome vizuri uelewe kabla yakuja kumwaga povu huku.
 
yeye, ponda, farid na wengine kibao wenye mtazamo hasi na wasiopenda amani, wapo ndani siku nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! huyo mtoto atatoka tu, hakuna kesi hapo, au wakimuweka ndani, ujue ni sababu ya usalama wake, na si eti ni sababu amekosea! acheni kupenda vurugu zisizokuwa na tija, huo msahafu si ungewekwa tu juu ya paa ukauke, nongwa ya nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…