Mtoto aliyekojolea Kurani hana kesi ya kujibu

r.


Nirahisi sana kwako kufanya zuri katika dini yako ambalo ni ovu kwa ubinadamu , katika kutenda uanayo pasa katoka imani yako ni kwamba lile zuri kwq binadamu ni gumu kwako. Kuua kwa jina la allha kwakoni rahisasababu ni mtu mbaya kibinadamu napale dini yako inaporuhusu kutenda maovu na kubarikiwa kwako ina kuani kheti na bahati nzuri
 
yaani am soooooo proud to be among CHRISTIANS!! though nawapenda moslems wote pia, maana sisi wote tulikombolewa kwa damu ya YESU!! amen!
 
==============================================================

Ushabiki mwingine hata haunogi!!!! Unaelezea kana kwamba ulikuwepo on the spot!

Wafanya fujo acheni akili za mgando, kile ni kitabu sawa.. mtoto hajawa panya.... sawa, experiment is over!
 

mtoto muhusika aliweka kuruani yake chini, hapo maana yake binafsi hakuithamini, je hapo chini hapakuwana mikojo, mavi au mate?

Kama alienda kucheza alimuonaje/alijuaje aliyekojolea? Alijuaje kuwa aliinyatia?

Na vimehusika vipi na kuchoma makanisa na kuiba makanisani?
 
Kakija tu mtaani lazima tukakate kichwa ili liwe fundisho kwa wengine wanaochezea vitabu vya mungu, the same applies kwa yule atakayekojelea bibilia

usitusemee sisi wa bibilia, hatuna utamaduni wa kukata watu vichwa, tunawaachia nyie uamsho
 

source please! manake kila mtu ameisikia ile habari, all in all

Boko haramu + Hamasi + somalia + Uamsho + Vikundi vya waislam wanaojiita wenye msimamo mkali

Nadhani mwenye akili timamu keshajua nini ni nini
 
Mbona warusi na wamerekani hukojolea na hata kunya kabisa wanapokuwa kwenye mwezi unaoongoza mfungo wa ramadhan? Mwezi pia ni alama kuu ya uislam !
 
Nadhani malumbano, viapo , vitisho havisaidii humu Jamiiforum ni bora mkatoa ushauri ni jinsi gani ya kuzuia matatizo haya yasitokee maana tumeoleana waislamu kwa wakristo, watoto wanacheza pamoja, wanasoma pamoja na vitu vingi wanafanya pamoja watoto wetu na hata sisi wakubwa bado tunaishi pamoja , tunachangiana harusi,misiba nk.
Ni bora watoto wakaelezwa si vizuri kucheza na maandiko matakatifu iwe qurani au bibilia maana si haki kwa Muislamu kukojolea bibilia na vivyohivyo si vyema kwa asiye Muislamu kukojolea qurani.
Ushauri

Hakuna imani/dini inaruhusu kufanya kinyume na amri kumi za Mungu alizompa Musa,
Hakuna imani/dini isiyoamini kufufuliwa na kulipwa ujira wa uliyotenda hapa duniani,
Hakuna imani/dini isiyoamini kuna muamuzi wa mwisho
Hakuna imani/dini inayosema binadamu hakuumbwa kazuka tu duniani bila utaratibu wa uumbaji,
Hakuna imani/dini isiyoamini uwepo wa zama zilizopita na faida/adhabu walizopata kwa kufanya/kutofuta yampendezayo muumba
Ni mengi wanafanya watoto wetu pamoja tuwafunze vitu vya msingi wakifika umri wa kufaa mfano miaka 10 na kuendelea waaminishwe yaloyakwao katika imani zao maana hata hawa wakosaji wazazi wamechangia kufika hapa tulipo maana kama wazazi wangejua kuwa imani ya mwenzio ni bora kama ilivyo yako asingesema hayo au angekuwa kaiva kiimani angeoogopa kwa mwanae kutenda hayo! lakini kwa uhaba wa imani na uelewa wa mungu ndo maana matatizo yametokea!
Watu wapende kufanya ya imani ya mwenzie kwa kupenda tabia na mwenendo na si kwa kulazimishana; watu wapeane ukweli na kila umoja wetu awe huru kuuchambua na asilazimishwe kuelewa anavyoelewa mtoa habari kwani ukweli wa Neno la mungu haujifichi.
Tuombe nchi yetu isiingie katika vita ya kidini ni mbaya mno kuliko ya kisiasa maana watu watapenda wafe kama mashahidi mbele za mungu kuwa walipigania dini yake kumbe sivyo!Bali wanatenda dhambi iliyo mbaya zaidi kwa mungu kwani watoto watauawa ambao hawana wanalojua huku waumini wakiamini kuwa ni sawa lakini hakuna vita vyovyote vilvyopiganwa na mitume wa Mungu walioua watoto!Lakini sis kwa uhaba wa elimu ya Mungu tutatenda! maana tutaona ni haki kuua hao watoto.
 
uvivu wakufikiriya kuwaza na piya elim inachangia ukisoma ukiwa msonmi uwezi kukurupuka aya geuza hiyo hoja iwe ni mwanao kafanya hivyo na wenzake waka mwana waka shtaki mngefanya hivya nawao ni watoto? nimejisikia vibaya sana kuona watu wazima kuchalenjiwa na katoto kadooooogo
 
uvivu wakufikiriya kuwaza na piya elim inachangia ukisoma ukiwa msonmi uwezi kukurupuka aya geuza hiyo hoja iwe ni mwanao kafanya hivyo na wenzake waka mwana waka shtaki mngefanya hivya nawao ni watoto? nimejisikia vibaya sana kuona watu wazima kuchalenjiwa na katoto kadooooogo alafu mnataka kusababisha uvunjifu wa amani kisa katoto kasicho jitambuwa ata? mbaya sana
 
Waislamu kweli wajinga...........wao wanaamini ukikojolea unakufa au kugeuka mjusi. Sasa si wangesubiri mpaka afe au ageuke mjusi mbona wanayakana maandiko yao ya allah kupitia kitabu cha quran?
 
Usahihi.
kilichokojolewa ni "kitabu" cha kuruani, haijakojolewa kuruani.
haya endeleeni na ubishi.
Wewe ndio wale wale; yaani kitabu cha korani sio korani!! Labda kweli maanake dogo aliyekibwagia mkojo hajawa nyoka wala panya!!
 
kukojolea kitabu ni kukidhalilisha na kosa kikatiba tena la uhaini kwa sababu linahatarisha usalama wa taifa, hiyo nayo hujaiona eti? au umeangalia kikatoliki?
 

Hapo tatizo sio malezi tatizo ni hali aliyokuwa nayo mtoto kutaka kujua ukweli kuwa angegeuka kuwa mnyama.na sisi wana psychology tunajua mtoto upenda kujaribu kila kitu akijifunza ajue ukweli mwenyewe. Sasa hakuwa kama alivyoambiwa kapata jibu.mbaya zaid hiyo kuruani alipewa akuichukua mwenyewe...conclu mtoto mwenye kuran kajifunza kuwa habadiliki kama wanavyosema ila ni uongo wakati ufike elimu za kuogofya kwenye dini zitolewe maana watoto watafanya utafiti wao wenyewe
 
kukojolea kitabu ni kukidhalilisha na kosa kikatiba tena la uhaini kwa sababu linahatarisha usalama wa taifa, hiyo nayo hujaiona eti? au umeangalia kikatoliki?

Think big wewe acha mawazo mgando.alikojolea kakitoa wapi?si alipewa ili aone kama ni kweli atabadilika?na dogo wa kuruani alimpa ili nae ajioneee ukweli wa kuruan....na zako changanya....
 
Think big wewe acha mawazo mgando.alikojolea kakitoa wapi?si alipewa ili aone kama ni kweli atabadilika?na dogo wa kuruani alimpa ili nae ajioneee ukweli wa kuruan....na zako changanya....
ingekuwa ndo mara ya kwanza huyo mtoto kufanya hivyo watu wangeamini ni utoto, ila hayo matukio mbona yanatokea sehemu mbalix2? hivi unafikiri ni bahati mbaya?, chemsha bongo.
 


matusi ya nini kuwakilisha hoja au ujinnga
 
Wewe ndio wale wale; yaani kitabu cha korani sio korani!! Labda kweli maanake dogo aliyekibwagia mkojo hajawa nyoka wala panya!!

umeona hapo mkuu kingejitettea si wao kutumia nguvu kubwa wangekaa pembeni miujiza itoke kiboooo
 

Kwani shehe Ponda na farida wamekojolea kuran gani.Mbona wako jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…