Mtoto aliyekojolea Kurani hana kesi ya kujibu

Usahihi.
kilichokojolewa ni "kitabu" cha kuruani, haijakojolewa kuruani.
haya endeleeni na ubishi.

Hata hivyo ingekuwa quroan ingekuwaje? angegeuka kichaa??? jibu hakuna kitu kama hicho
 
Sijaona jibu kwenye thread zaidi ya kurushiana maneno. Ni sheria ipi imevunjwa? I mean walioona watuambie alisomewa shtaka gani?
 


mbona hata hao ndugu zetu waislamu wanajua kuwa issue imesukwa ili kuleta vurugu na hatimaye umwagaji wa Damu? Hebu fikiria - kitabu cha Dini kimekojolewa halafu watu wanakimbia kuchoma makanisa - huoni kuna contradictions hapo???? Heri kumwamini Yesu mwenye UWEZO na MAMLAKA - KWA JINA LAKE MAPEPO YANAKIMBIA - MAJINI YANASALAMU AMRI - NAAM NA MASHEKHE WANAOOKOKA - so sie HATUMTETEI - YEYE WALA KITABU CHAKE - AKINGURUMA WEEEEEEEEEEEEEEEE LAZIMA MABADILIKO YATOKEE
 



.....kafiri mwenyewe unayeingilia michezo ya watoto, mtoto hana hatia mlifanya experiment mkashindwa tatizo liko wapi
 
Napita,hapanifai!:A S-confused1:
 
Journalists most of the time mislead us with their reports, sio tu kwa wagalatia.. Jaribu kuwa mwelewa bro, mana ume base sana kwa wagalatia na top team unaiona pale ikulu yote ni Muslim with exceptional of PM lakini bado waislamu wenzangu tunahisi tunaonewa, we have to change twende shule na ni for real haikuwa ishu ya kufikia hapa ilipo sisi dini hii tumefanya kuletewa tu lakini cha ajabu inaonekana tunaijua vizuri kuliko hata mwaarabu mwenyewe.. this is some kind of lacking knowledge na inatokana na kwamba tunaendekeza sana elim akhera while tunatakiwa twende kwa wenzetu pia jamani tukasome elim dunia waislam wenzangu. Lets change our mind set.... Enh!!
 
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…