Habari
naomba kujua ikitokea kua una mtoto ambaye hakunyonya kabisa maziwa ya mama, yaani ambaye anakulia kwa kutumia maziwa ya kopo, ni aina gani ya lishe? (chakula) inashauriwa kumpa ili kumuimarisha zaidi kiafya ukiacha hayo maziwa ya kopo anayotumia.
Mtoto umri wake ni miezi sita.
ahsante.
naomba kujua ikitokea kua una mtoto ambaye hakunyonya kabisa maziwa ya mama, yaani ambaye anakulia kwa kutumia maziwa ya kopo, ni aina gani ya lishe? (chakula) inashauriwa kumpa ili kumuimarisha zaidi kiafya ukiacha hayo maziwa ya kopo anayotumia.
Mtoto umri wake ni miezi sita.
ahsante.