Loeli
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 997
- 763
Wakuu toeni msaada wa haraka. Mtoto wa miaka 8 aliandikiwa amoxyline (spelling) capsule moja kila masaa 8. mzazi wake amempa saa 8 leo na ilikuwa apewe tena saa nne usiku. Kwa bahati mbaya wakati anampa dawa saa 12 jioni akawa amempa tena amoxyline badala ya saa nne usiku. Mzazi amepanic sana. Naombeeni msaada je apewe maziwa kupunguza makali ya dawa au kuna first aid nyingine? mtoto amechangamka tu. Tafadhali saidia. MziziMkavu njoo huku please.
Update at 00:03
Wakuu mtoto hali imebadilils. Baada ya kupewa maziwa jasho lilimtoka. Akakaa kidogo shingo ikaanza kwenda upande. Baadaye ikawa inatizama juu. Wazazi wamempeleka hindu mandal na dr amesema hakuna tatizo la overdose. Ameandikiwa referal aende amana ili aweze kwenda muhimbili kwa ajili ya shingo kukakamaa kwa muda wa say dk 10 na kurudi kawaida. Wamemrudisha mtoto nyumbani ndiyo tuko hapa kupiga hesabu. Hindu mandal dr aliwaambia pia kama wanawezs pata wataalam wa kienyeji!!!! huku wakienda muhimbili kwa CT scan. Please wenye uzoefu saidieni hili la kukakamaa shingo ni kitu gani!
Update at 00:03
Wakuu mtoto hali imebadilils. Baada ya kupewa maziwa jasho lilimtoka. Akakaa kidogo shingo ikaanza kwenda upande. Baadaye ikawa inatizama juu. Wazazi wamempeleka hindu mandal na dr amesema hakuna tatizo la overdose. Ameandikiwa referal aende amana ili aweze kwenda muhimbili kwa ajili ya shingo kukakamaa kwa muda wa say dk 10 na kurudi kawaida. Wamemrudisha mtoto nyumbani ndiyo tuko hapa kupiga hesabu. Hindu mandal dr aliwaambia pia kama wanawezs pata wataalam wa kienyeji!!!! huku wakienda muhimbili kwa CT scan. Please wenye uzoefu saidieni hili la kukakamaa shingo ni kitu gani!