Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
Mkuu wew ndio dokta sasa.
Nisaidie mkuu na mm nizijue dawa za kutibu hilo tatizo angalau kwa majina.
Maana hata mm nafahamu hilo tatzo madaktar wengi hawalijui na huwapa watto wengi dawa kwa kuhis ni tatizo jingine na kushindwa kujua ni nn tatizo kwa mtto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio mganga wala daktari, dawa za michango kwa watoto hupatikana kwenye maduka ya dawa za asili au wamasai (haswa mama yo-yo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu homa na joto la mwili kuongezeka ni dalili ya mabadiliko flani Katika mwili au kwa kibaiolojia tunaita "stimuli",mabadiliko haya yanaweza letwa na sababu mbalimbali ikiwemo magonjwa,maambukizi,mabadiliko ya tabia ya nchi au hali ya hewa,n.k.Hivyo basi ni vyema umpeleke mtoto hospitalini na apimwe vipimo Vingi,tofauti na kawaida yetu wabongo kuishia kupima malaria na UTI tuu,Msaada wenu wapendwa mwanangu ana miezi 5 amekuwa akisumbuliwa na homa yaan anakuwa na joto kalii kichwani mikononi na tumbo ila kila nikienda hospital mtoto hana malaria. Japo mwanzo nilimkuta damu kimepungua sana akapewa dawa kwa sasa damu ni 12.3 na hana
Tatizo jingine je shida yaweza kuwa nini?
Hukamaliza kuandika lakini joto zaidi ya degree 37 si hali ya kuiacha kwa muda mrefu.
Kama una feni muwashie
Mmkande kwa maji ya baridi
Punguza nguo ikiwezekana abaki na nepi
Mpe Panasonic au paracetamol
Ni paracetamol mkuuHahah!!!
Hapo penye mtoto apewe Panasonic...khaaa nimejikuta nimecheka mno!!!
Si ajabu sasa hivi mtoto anasokomezwa mdomoni kimusic system au kieletronic device chochote cha Panasonic...
Sababu kubwa 3 zq mtoto mchanga kuchemka sana:Msaada wenu wapendwa mwanangu ana miezi 5 amekuwa akisumbuliwa na homa yaan anakuwa na joto kalii kichwani mikononi na tumbo ila kila nikienda hospital mtoto hana malaria. Japo mwanzo nilimkuta damu kimepungua sana akapewa dawa kwa sasa damu ni 12.3 na hana
Tatizo jingine je shida yaweza kuwa nini?
Hukamaliza kuandika lakini joto zaidi ya degree 37 si hali ya kuiacha kwa muda mrefu.
Kama una feni muwashie
Mmkande kwa maji ya baridi
Punguza nguo ikiwezekana abaki na nepi
Mpe Panasonic au paracetamol
Yaani hapo kwenye "Panasonic" na " Almonia" 🤣🤣🤣 Dah you made my tired dayMfumo wao wa upumuaji haujakomaa. Anaweza kupata mafua na almonia ( almonia kama nimekosea spelling)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry mkuu, hivi ulimaanisha panasonic au panadol?Hukamaliza kuandika lakini joto zaidi ya degree 37 si hali ya kuiacha kwa muda mrefu.
Kama una feni muwashie
Mmkande kwa maji ya baridi
Punguza nguo ikiwezekana abaki na nepi
Mpe Panasonic au paracetamol
Panadol
Nashukuru, maana ilibidi niusome uzi mara mbili mbili nilifikiri mtoa mada ameulizia ni battery gani nzuri kwa remote [emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]Panadol
Hukamaliza kuandika lakini joto zaidi ya degree 37 si hali ya kuiacha kwa muda mrefu.
Kama una feni muwashie
Mmkande kwa maji ya baridi
Punguza nguo ikiwezekana abaki na nepi
Mpe Panasonic au paracetamol
Panadol
Asante sana ndg yangu mwanangu kwa sasa hajambo alikuwa na U.T.IKwanza pole sana, kutokujua tatizo inaumiza na kusumbua sana.
Je mtoto anatapika?
Mara nyingi viral au bacterial infection husababisha joto kupanda sana, unaweza kumpa dawa za kutuliza maumivu (Panadol au Paracetamol) akikaa hata lisaa limoja haliishi, joto linapanda tena.
Wengi wanapewa antibiotic wakifikiri wanatibu UTI au infection lakini tatizo haliishi. Kwanza usimfunike nguo ikiwezekana mwache na nepi tu pia uwe unamkanda na kitambaa cha maji baridi kushusha joto.
Akaangaliwe infection imetokea wapi, anaweza kuwa hawezi kunyonya vizuri kwa kuwa na vidonda au michubuko kwenye kinywa au aangaliwe masikioni pia.
Mungu akutangukie na apate uponyaji upesi mkuu.
Asante sana ndg yangu mwanangu kwa sasa hajambo alikuwa na U.T.I