Mpeleke hospital,
Mtoto wa miezi 6 ananuka kitovu bado una type hapa eti nifanyeje jamani.
Ushauri wangu mwingine.
Kama watumia fb, nenda kasearch group laitwa MAGONJWA, IDEAS NA USHAURI,
Ni Closed group for Mamas only,
Kule ukipost tu tatizo lako, utatajiwa hospital mpk majina ya madokta na namba zao, hope utapata pa kuanzia.