Wapendwa naomba kuuliza ivi mtoto anaweza kuzaliwa mwezi wa 7 na 8? Maana huwa nasikia mtoto kazaliwa miezi 6 au 9 tu. Naomba mwenye ujuzi anieleze tafadhari...
Wapendwa naomba kuuliza ivi mtoto anaweza kuzaliwa mwezi wa 7 na 8? Maana huwa nasikia mtoto kazaliwa miezi 6 au 9 tu. Naomba mwenye ujuzi anieleze tafadhari...