Mtoto asiye na hamu ya kula

cute mama

Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
35
Reaction score
18
Habari za muda huu wapendwa. Kama una mtoto asiyependa kula nina suluhisho. Kirutubisho cha MYCHOCO, inatampa hamu ya kula na kuimarisha kinga ya mwili maana ina madini yote anayotakiwa mtoto kupata katika mlo wake. Pia inaimarisha ubongo wa mtoto na kumsaidia kuwa vizuri shuleni. Karibuni inbox kwa maelezo zaidi. Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imethibitishwa na TFDA na kuidhinishwa na TBS kama bidhaa sahihi isiyo na madhara kwa mtumiaji? Watoto ni nyeti sana katika Taifa Lolote hivyo tujiridhishe kabla ya kwenda kuuziwa hii kitu wadau yasije kututokea yale ya SOUTH AFRICA watoto wakawa Habibiiiii. Thanks
 
inbox ndo nini we tiririka hapa hapa tujue unauza nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imethibitishwa na kampuni ipo kihalali Tanzania ndugu, pia tunalipa kodi TRA. Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha na maelezo ya mychoco

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha na maelezo ya myCHOCO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…