Kwa kulala mchana bila kulialia inamaanisha hana tatizo, angekuwa anaumwa hata mchana angelia
1. Njaa huwasumbuwa sana watoto hasa masaa ya usiku na maranyingi akinamama huwa wamechoka kunyonyesha mchana, nawakihitaji kujipumzisha. Jaribu kutafuta source mbadala ya lishe kwa muda anaolia (mfano maziwa ya aspen yanapatikana kulingana na umri wa mtoto) akipewa akashiba kama shida ni njaa atalala mazima mpaka asbh. Note/zingatia usafi ni muhim sana.
2. Kama No-1 juu itashindikana, chunguza malazi yake hasa vilalio, mkojo nk, watoto hawapendi kabisa mkojo au vitu vinavowasha na kuchoma maka mkojo, hakikisha kila anapojikojolea maramoja anabadilishiwa viwalo, kama hili ni tatizo atalala
3. Kama No-1 & 2 itashindikana, jaribu kuangalia mazingira yanayomfanya alale machana, upatikanaji wa hewa safi, mbanano nk, hata hivyo mara zote mtoto afunikwe vema hatakama kuna joto kuzuia baridi kumpatia vichomi mtoto yaan pneumonia ambayo huwapata watoto wengi kwa kuachwa wazi na wazazi wao wakzani wanawapungisha upepo kumbe nikosa kubwa.
4. kama anakaumri kakubwa kidogo jaribu kumdistable/kumsumbuwa masaa ya machana asilale saanaaaa alale usiku japokuwa hii sio mbinu sahahi mtoto anatakiwa apate usingizi mnono kwa ukuwaji bora.
tatizo likiendelea waone mabibi tofauti tofauti kama watatu au wanne kwa ushauli zaidi
Asalamallekum mdau.