Mtoto haongezeki uzito

amarise

New Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
2
Reaction score
0
habar ndugu. mim ni mzaz wa mtoto mwenye umri wa miez saba sasa ila haongezeki uzito kwa haraka. mara kwa mara nkimpeleka kliniki huongezeka gtam chache sana au kilo hubaki hapo hpo. sasa anamiez saba lkn bdo ana kilo tano. tatizo ni nini au tiba yake ni ipi? Naomba mnishauri.
 
unachotakiwa kujua ni kwamba ktk ukuaji wa mtoto kuna kipindi mtoto anakuwa kwa kuongezeka unene na kipindi hiki mtoto huwa anahitaji virubisho vingi sana hivyo huwa anakula sana pia then ktk ukuaji pia kuna kipindi mtoto anakua kwa kuongezeka urefu na kipindi hiki mtoto huwa hali sana!! hivyo ukienda clinic muelezee dr na kama hatakupa majibu yakueleweka just PM me ntakuunganisha na dr mmoja ambae ni speciality atakusaidia
 
 

Kwenye kadi uki-plot uzito vs age anaangukia kwenye rangi ipi? Kama kijani, hiyo sio issue kabisa. Kama sikosei akifika age hiyo inabidi awe na uzito mara mbili ya ule wa kuzaliwa.

Muone daktari wa watoto na wala sio kusikiliza mtu mwingine ambaye sio daktari wa watoto.
 

Mkuu please naomba weka jina la huyo dr kwa faida ya wengi
 
Pole sana. Mimi pia wangu alinitesa hivyo hivyo inaumiza sana. Ila kuna unga wa uji wa lishe niliandikiwa na Dr Tulla (wa tiba lishe alikuwa na kip star tv siku za nyuma) at least akaanza kupanda.
Nafikiri huyo wa kwako sasa anakunywa uji..niinbox no yako tuongee
 
Jamani inbox za nini? Wekeni information hapa kwa faida ya wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…