mtoto kaamka kavimba chini ya masikia (mashavu) na homa kali

mtoto kaamka kavimba chini ya masikia (mashavu) na homa kali

trplmike

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
701
Reaction score
777
Kuna mtoto wa miaka 5 kaama asub akawa amevimba mashavu yote chini ya masikio halafu ana homa kali. Ma dk huu ni ugonjwa gani?
 
Huo ugonjwa unaitwa MUMPS. Ni muhimu umpeleke hospital apate matibabu stahiki. kwa watoto wa kiume baadhi hupelekea kushindwa kupata watoto (kuua kizazi) atakapo kua mkubwa. Pls take it serious ...
 
Huo ugonjwa unaitwa MUMPS. Ni muhimu umpeleke hospital apate matibabu stahiki. kwa watoto wa kiume baadhi hupelekea kushindwa kupata watoto (kuua kizazi) atakapo kua mkubwa. Pls take it serious ...
Asante kwa taarifa. anapelekwa hosp sasa hvi
 
Huo ugonjwa unaitwa MUMPS. Ni muhimu umpeleke hospital apate matibabu stahiki. kwa watoto wa kiume baadhi hupelekea kushindwa kupata watoto (kuua kizazi) atakapo kua mkubwa. Pls take it serious ...
acheni uongo nyie, mumps ni ugonjwa tumeugua sana utotoni na sasaivi tuna watoto rundo. nakumbuka kijijini kwetu ulikuwa ukianza, shule nzima ya msingi tunaugua. walikuwa wanasema dawa ufunge vijiti ukavirushe njia panda ati atakayepita anakupokea. mambo mengi. nimeugua utotoni sio mara moja, ni mara nyingi tu. mashavu chini ya sikio kushuka kweney shingo kuna vimba. na wanasema hauna dawa, unasababishwa na virus, unapona ndani ya wiki moja hadi mbili. ukipata sana dawa ni za kutuliza maumivu tu.
 
Back
Top Bottom