Mawazo yako ya kitoto sanaNi wewe mwenyewe umezoea kudandia wake za wenzio, ngoja hapo hapo ili na wewe wakupe mimba kama ulivyomfanyia mwenzio.
<br />kijana,usiwe na wasi. ni kawaida mama mjamzito akimchukia mtu anazaa mtoto aliyefanana nae. relax,huyo bibie alikuwa ana kisirani na jamaa tu,acha kuwaza uovu.