Mtoto kakolea haswaa, hanijui cmjui ila kanipenda

siku si nyingi utaibiwa wewe, mjini hapa.....

Kuna wadada wz mujini wanatumia style hiyo kunasa wanaume wenye fedha..... Shaurilo
 
Huyo sio demu wala nini. Kwa mawazo ya haraka haraka huyo atakuwa SHOGA
 
Mkuu usiwe happy sana coz wote bado hamjaonana, ila mkishaonana ndio nadhani utajuwa kama kuna mapenzi ya kweli msije kimbiana tu hiyo siku ya kuonana
mkuu cjafurahi kwa yeye kunipenda ila naenjoy namna banavyotoa hsia zake, kiukweli huwa nacheka sana, cku uwa inaisha vizuri kwa sababu yake
 
Wewe unamdanganya mwenzio. Hajaona sura yake, hips, na kuonja utamu wake unamshauri afanye kazi chini ya kiwango? Anaweza kuchanganyikiwa na uzuri wake akajituma kikwelikweli ili kumsahaulisha mchumba wake!

Then hayo yatakuwa ni matokeo mengine ambayo hakuyatarajia. Unless otherwise he should stick to the plans za kumuacha huyo mtu.
 
Kijana kuwa mwangalifu, siku hizi ni mbaya mno. Wewe unachat na mtu hata hujawahi mwona kwa nini usifanye mpango ukaonana naye kisha ukatoa uamuzi?

Pengine ni mtu wa karibu sana anaku enjoy au anataka kuvuruga mahusiano yako?


 

wee,ile ilikuwa flirting. ama hujui maana ya chit chat?
 
muacha akufuate alafu iringa sasa hivi si ndo msimu wenu wa baridi? luck u blankenti chapa mtu linajileta lenyeweeeeeeeeeeee utafaidije!
 
Miaka yenu mingapi? I mean wewe una umri gani na huyo mwenzio ana umri gani? Nakuwa na wasiwasi isijekuwa ni foolish age..!
 
Mkuu haya mambo ya social interaction kupitia mitandao/simu ni ya hatari sana kwa wanetu.
 
yaani hapo naona kama nawe umeona umefika .. ila kuwa makini kwa jinsi ya maelezo unaonyesha unamjali huyo kuliko kumjali mchumba wako .. uko kwenye matatizo ya kujitakia na utajilaumu
 
Mkuu haya mambo ya social interaction kupitia mitandao/simu ni ya hatari sana kwa wanetu.

Tena hatari si kidogo..wengi wanaamini ukiongea na mtu usiyemjua kwenye simu/internet anaweza kuwa right person kwake..au tajri fulani hivi..ni kma wanacheza kamari. Wanaamini watu hao ni tofauti na tunawaona mitaani!!

Amini usiamini sasa hivi kwenye inbox yangu facebook kuna mmoja nachat naye..Mwelekeo uleule!!
 
Fanya haraka umuone kwanza.

Kama vip piga show
 
umesahau maana ya chit chat, hebu nenda kasome tena! au ndo kujidai huelewi?
 
1. Kwasiku mnachati sms 500?
2. Mnaongea na simu usiku kucha?
3. Unamchumba!!

Vp ndugu majukumu mengne yanakwenda kweli, maana hyo spidi mlokuja nayo ni zaid ya "HAPPYNATION"
 
mkuu cjafurahi kwa yeye kunipenda ila naenjoy namna banavyotoa hsia zake, kiukweli huwa nacheka sana, cku uwa inaisha vizuri kwa sababu yake

Aminia mkuu wangu na ndio hivyo, kama ukimuona na umemuona ametulia then kula mzigo tu hamna kulemba kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…