tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Ni mtoto wa mama mwingine ambapo 1 hakuwepo kwenye msiba wa babake,na alipokuja hakwenda kuliona kaburi,alipoambiwa atoe viambata for mirathi akadai hana haja nayo na hakutoa sapoti,binamu kawekwa mbadala,hela zimetoka kapewa pungufu coz ya cost,kaenda PLS