Mtoto kubadilishwa jina la baba mzazi na kupewa jina baba wa kufikia

Mtoto kubadilishwa jina la baba mzazi na kupewa jina baba wa kufikia

SHOSHOLOZA

Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
39
Reaction score
2
Ndugu zangu naomba msaada wa kisheria nina mtoto wangu kabadilishwa jina na kupewa la baba wa kufikia, nikiongea na mama yake anasema kwakuwa silipi ada ya mtoto (12yrs) na huyo bwana analipa ndo maana ikawa hivyo.
Naomba msaada wa kisheria uu ya hilinianzie wapi, ilinisaidiwe.

Asanteni

Pole sana.

Kwa uelewa wangu ni kwamba, hapaswi au haruhusiwi kisheria kubadili jina la mzazi mwenzie lililoandikwa kwenye hati ya kuzaliwa(birth certificate) bila idhini ya mzazi mwenzake isipokuwa kwa sababu fulani(exceptions).

Kama nilivyokuelewa kwenye maelezo yako kuwa mama ndiye mwenye sole custody na ana-discharge sole parental rights and responsibilities (wakati wewe upo na hutekelezi majukumu hayo kwa mtoto), na kuwa kuna mtu mwingine anayatekeleza majukumu hayo kwa muda mrefu bila kuingiliwa na mtu yeyote(wewe)...mama anaweza kubadili jina la mtoto ikiwa ni kurahisisha huduma muhimu kwa mtoto kama kupata hati za kusafiria,ada n.k kwa kuapa na kusaini statutory declaration kwamba yeye ndiye sole legal parent na ndiye anaprovide legal custody bila wewe.

Lakini kama ingekuwa wewe unatoa huduma kama itakiwavyo basi angepaswa kupata ridhaa yako kabla ya kufanya hivyo.

Nakushauri,thibitisha kwanza kama kweli ni mwanano, pia hata kama umeachana na mkeo, timiza majukumu yako kwa mwanao na mkeo wa zamani kwa kumlea mtoto...hapo atapaswa kukushirikisha jambo lolote lenye kuathiri mambo yamuhusuyo mtoto.

Sababu nyingine za kubadili jina zaweza kuwa ni kuwa mwenzi wako anaweza kusaini hati ya kubadili jina la mtoto kwasababu labda una tabia mbaya,mgomvi kwake,hujali familia(umeitelekeza) au kuendelea kutumia jina lako itaathiri makuzi ya mtoto n.k

Kifupi, timiza majukumu yako.
 
asante kwa ushauri, lkn damu ya mtu si ya kuchezea. Hata kama silipia ada, kikwetu huwa wanaitwa kwa ubini wa mjomba au baba kizaa mama. Ila ushauri nimzuri, nitaufanyia kazi.
 
Ndugu zangu naomba msaada wa kisheria nina mtoto wangu kabadilishwa jina na kupewa la baba wa kufikia, nikiongea na mama yake anasema kwakuwa silipi ada ya mtoto (12yrs) na huyo bwana analipa ndo maana ikawa hivyo.
Naomba msaada wa kisheria uu ya hilinianzie wapi, ilinisaidiwe. Asaneni

Huyo mtoto alivyokuwa wako ulifuatilia cheti chake cha kuzaliwa kikaandikwa jina lako? Una hakika ya asilimia ngapi kuwa mtoto ni wako na kwamba siyo ulibambikiziwa ili utoe pesa ya kulisha mama na mwanae? Unajisikiaje wewe kama mwanaume rijali ulipiwe ada ya mwanao na mwanamme mwenzako?
 
Mjue kutunza wanenu......
Pole lakini
Natumaini utapata msaada wa wanasheria

Ukifanikiwa ujue kinachofanya mtu kuwa baba sio kupiga mimba.... bali kugomboa mtoto na kutunza. Na kwa mtoto wa miaka 12 ana akili mtunze sasa

Pole sana
 
Mjue kutunza wanenu......
Pole lakini
Natumaini utapata msaada wa wanasheria

Ukifanikiwa ujue kinachofanya mtu kuwa baba sio kupiga mimba.... bali kugomboa mtoto na kutunza. Na kwa mtoto wa miaka 12 ana akili mtunze sasa

Pole sana

Umenena broo...
 
asante kwa ushauri, lkn damu ya mtu si ya kuchezea. Hata kama silipia ada, kikwetu huwa wanaitwa kwa ubini wa mjomba au baba kizaa mama. Ila ushauri nimzuri, nitaufanyia kazi.

Wa kiume hawafikiriagi hvyo umeshindwa kusimama kama baba kwenye majukumu unadhan kutia mimba kaz ngumu? hata chz anazalisha gentleman ni kupambana na majukumu

rudi nyuma ujiangalie upya mkuu.
 
Kwa maelezo yako wewe ni sperm donor na siyo baba. Watu kama wewe mnaudhi sana kwa kuudhalilisha ubaba. Mwenzako analea mtoto na kumsomesha wewe umekaa pembeni tu unawaza Ubaba!!
 
yani kama vpi baba wa kufikia amuadopt tu mtoto ikiwezekana..si rahsi mwanaume kulea mtoto ambaye si wake,baba wa kufikia ana busara sanaaa
 
Nashukuru kwa michango, kwa kifupi sana; nilioa na kuzaa nikiwa aishi naye huyo mama, cheti cha kuzaliwa kiko sawa na ninacho mwenyewe, kulikuwa na fununu za mke wangu huyo kutembea na baba yake mzazi (wachaga), sikushuhudia kwa macho lakini ilifikia sehemu nikaamini hilo. Baadaye nikaamua kuachana naye akiwa na mtoto mdogo,mkwe a.k.a mume mwenzangu alinichukia wakaficha mtoto kwa miaka 10sikujua wako wapi hadi wka jana mwishoni, sijauatilia kwakua ipidiapata habari hiyo nilikuwa najiandaa kusafiri nje ya nchi kufanyakazi.nakuja rikizo mwezi wa nane NANI ANGEVUMILIA JUU YA UCHAFU HUO?. najipa moyo kwakuwa ni chapa yangu mtoto labda
 
Pole sana.

Kwa uelewa wangu ni kwamba, hapaswi au haruhusiwi kisheria kubadili jina la mzazi mwenzie lililoandikwa kwenye hati ya kuzaliwa(birth certificate) bila idhini ya mzazi mwenzake isipokuwa kwa sababu fulani(exceptions).

Kama nilivyokuelewa kwenye maelezo yako kuwa mama ndiye mwenye sole custody na ana-discharge sole parental rights and responsibilities (wakati wewe upo na hutekelezi majukumu hayo kwa mtoto), na kuwa kuna mtu mwingine anayatekeleza majukumu hayo kwa muda mrefu bila kuingiliwa na mtu yeyote(wewe)...mama anaweza kubadili jina la mtoto ikiwa ni kurahisisha huduma muhimu kwa mtoto kama kupata hati za kusafiria,ada n.k kwa kuapa na kusaini statutory declaration kwamba yeye ndiye sole legal parent na ndiye anaprovide legal custody bila wewe.

Lakini kama ingekuwa wewe unatoa huduma kama itakiwavyo basi angepaswa kupata ridhaa yako kabla ya kufanya hivyo.

Nakushauri,thibitisha kwanza kama kweli ni mwanano, pia hata kama umeachana na mkeo, timiza majukumu yako kwa mwanao na mkeo wa zamani kwa kumlea mtoto...hapo atapaswa kukushirikisha jambo lolote lenye kuathiri mambo yamuhusuyo mtoto.

Sababu nyingine za kubadili jina zaweza kuwa ni kuwa mwenzi wako anaweza kusaini hati ya kubadili jina la mtoto kwasababu labda una tabia mbaya,mgomvi kwake,hujali familia(umeitelekeza) au kuendelea kutumia jina lako itaathiri makuzi ya mtoto n.k

Kifupi, timiza majukumu yako.
 
asante kwa ushauri, lkn damu ya mtu si ya kuchezea. Hata kama silipia ada, kikwetu huwa wanaitwa kwa ubini wa mjomba au baba kizaa mama. Ila ushauri nimzuri, nitaufanyia kazi.



mdau kakujibu vyema whatif ofisi ya baba wa kufikia ina mlipia mtoto ada na matibabu na mama ndo kaamua kafanya hivyo mwanao apate huduma.

Na inaonekana hufatilii mambo ya mtoto maana shule wange kupa taarifa. Kwa kifupi umemtelekeza
Damu ata paka anayo we toa matumizi.
 
Nashukuru kwa michango, kwa kifupi sana; nilioa na kuzaa nikiwa aishi naye huyo mama, cheti cha kuzaliwa kiko sawa na ninacho mwenyewe, kulikuwa na fununu za mke wangu huyo kutembea na baba yake mzazi (wachaga), sikushuhudia kwa macho lakini ilifikia sehemu nikaamini hilo. Baadaye nikaamua kuachana naye akiwa na mtoto mdogo,mkwe a.k.a mume mwenzangu alinichukia wakaficha mtoto kwa miaka 10sikujua wako wapi hadi wka jana mwishoni, sijauatilia kwakua ipidiapata habari hiyo nilikuwa najiandaa kusafiri nje ya nchi kufanyakazi.nakuja rikizo mwezi wa nane NANI ANGEVUMILIA JUU YA UCHAFU HUO?. najipa moyo kwakuwa ni chapa yangu mtoto labda
Pole sana.. Umefikia wapi hayo masuala ya mtoto??
 
ipo hivi ANAE MHUDUMIA MTOTO KWA MAHITAJI YOTE MUHIMU IKIWEMO ELIMU?AFYA,MALAZI,MAVAZI NA USALAMA WA MTOTO NDIYE MZAZI WA MTOTO NA AHAKI KUMUASILI KWANI WEEE UMESHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKO!
 
asante kwa ushauri, lkn damu ya mtu si ya kuchezea. Hata kama silipia ada, kikwetu huwa wanaitwa kwa ubini wa mjomba au baba kizaa mama. Ila ushauri nimzuri, nitaufanyia kazi.
Mambo ya zamani hayo kuhusu damu ya MTU haichezewi.Lipa ada bwana.Sheria unaenda na wajibu pia.

Unasema tu mtoto wangu wakati anateseka utasaidiwa mazima mpaka na jina sasa!!
 
Back
Top Bottom