Pampula jr
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 606
- 192
jaman naombeni msaada nina mtoto ana miaka 4 na nusu lakini haongei yaani ni kama ana matatizo ya ubongo na inapoleta utata anajisaidia haja kubwA kwenye nguo bila taarifa sasa kwa anaeelewA namna ya kumweka katika hali ya usawA anisaidie