mtoto kuchelewA kuongea

Pampula jr

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2013
Posts
606
Reaction score
192
jaman naombeni msaada nina mtoto ana miaka 4 na nusu lakini haongei yaani ni kama ana matatizo ya ubongo na inapoleta utata anajisaidia haja kubwA kwenye nguo bila taarifa sasa kwa anaeelewA namna ya kumweka katika hali ya usawA anisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…