Habari waungwana wa JF popote mlipo.
Hivi kuna tatzo lolote la mtoto
Kutokucheza tumboni mwa
Mama yake kwa sku tatu au zaidi..
Pengne hata wiki nzima.
Hapa naongelea kwa mwenye mimba ya kuanzia miezi 7........
Wazazi"wazoefu wa haya mambo"
Popote mlipo tunaomba mtujuze
Najua JF ni kiboko ya maswali !
Kwahiyo naamini moyo Wang_
Utatoka mweupe kabisa.
Aksanten.
Habari waungwana wa JF popote mlipo.
Hivi kuna tatzo lolote la mtoto
Kutokucheza tumboni mwa
Mama yake kwa sku tatu au zaidi..
Pengne hata wiki nzima.
Hapa naongelea kwa mwenye mimba ya kuanzia miezi 7........
Wazazi"wazoefu wa haya mambo"
Popote mlipo tunaomba mtujuze
Najua JF ni kiboko ya maswali !
Kwahiyo naamini moyo Wang_
Utatoka mweupe kabisa.
Aksanten.
Ha ha ha haaa.. watu mna maneno balaaUkiona ancheza cheza sana tumboni jua ya kwamba atakuja kuwa kama Mchezaji Ramadhan Shiza Kichuya na huko kucheza cheza Kwake anaanza kujizoesha kupiga Krosi na mipira ya Kona kutokea Uwanja uliopo tumboni mwako.
Hongera. Ila nakushauri uwahi hospital.Habari waungwana wa JF popote mlipo.
Hivi kuna tatzo lolote la mtoto
Kutokucheza tumboni mwa
Mama yake kwa sku tatu au zaidi..
Pengne hata wiki nzima.
Hapa naongelea kwa mwenye mimba ya kuanzia miezi 7........
Wazazi"wazoefu wa haya mambo"
Popote mlipo tunaomba mtujuze
Najua JF ni kiboko ya maswali !
Kwahiyo naamini moyo Wang_
Utatoka mweupe kabisa.
Aksanten.
Hongera sana mkuu " mkeo inaonekana ana hamu sana na huyo mtoto .... inapendeza kwa kweliMkuu nenda hospitali ucheki, wife wangu hata asipomsikia in a day lazima afanye namna mtoto akik ndio atakua na amani, atakunywa maji baridi, au atakula kitu au atamulika kwa tochi tumbo usiku mkali lazima dogo akiki. Sasa wewe ndugu yangu 3 days wala hamkuona shida? Natumai yuko salama tu,anyway labda koz mke wangu ni mimba yake ya kwanza.