Mtoto kufanyiwa kitu ambacho hajakipenda na mzazi, Je akikua na kufungua kesi atashinda?

Mtoto kufanyiwa kitu ambacho hajakipenda na mzazi, Je akikua na kufungua kesi atashinda?

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,272
Habari zenu wakuu!

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu!

Hivi mtoto akiwa mkubwa akaenda kufungua kesi ya kufanyiwa kitu ambacho hajakipenda kutoka kwa mzazi wake sheria inasemaje?

Tuchukulie mfano mtoto wa kike kutobolewa masikio, pua na huko kitovuni....na mtoto wa kiume kutahiriwa.....je akifungua kesi ataweza kumtia hatiani mzazi wake au mlezi lwa kufanyia kitu ambacho hajapenda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezekano upo na ndio subject to conditions, maana hata kina R-KELLY wanashtakiwa sasa kwa maovu waliyofanya zaidi ya miaka 17 iliyopita.
 
Back
Top Bottom