Ok nitaufanyia kazi ushauri huu ......Kuna minyoo flani inakaa karibu na njia ya haja kubwa inasababisha kuwashwa sehemu hizo hasa wakati wa kulala au usiku.Mikoa kama Iringa ,Mbeya na Njombe hilo tatizo lipo sana.
Nakushauri jaribu kumpa dawa za minyoo au akapime choo.
Ahaaaa okeeee hii nayo point ...kuna dokta aliniambia niwe makini sana na mtoto wangu nimuangalie ukiona mtoto ashiki nyeti zake ujue kuna tatizo mahali na wengi huwa na dalili zile japo wazazi wengi huwa hawatambui mapema.. akaenda mbali zaidi na swala la mtoto kudinda usiku.... jisni anavyokojoa.. mwanangu ana mwaka na miezi ila akiwa uchi lazima achezee mdudu wake ila najifanyaga kumwambia acha dudu hiyo ila kimoyo moyo nasema safi
Kumbe ushapata mtoto comrade?kuna dokta aliniambia niwe makini sana na mtoto wangu nimuangalie ukiona mtoto ashiki nyeti zake ujue kuna tatizo mahali na wengi huwa na dalili zile japo wazazi wengi huwa hawatambui mapema.. akaenda mbali zaidi na swala la mtoto kudinda usiku.... jisni anavyokojoa.. mwanangu ana mwaka na miezi ila akiwa uchi lazima achezee mdudu wake ila najifanyaga kumwambia acha dudu hiyo ila kimoyo moyo nasema safi
Ni katika kudiscover viungo vyao vya uzazi, tena asipojishika lazima uwe na wasiwasi, na pia unatakiwa unakuwa unamuangalia je kila siku asubuhi inasimama ? Hiyo ndo inamfanya aitwe mwanaume bwana.Ahaaaa okeeee
Ha ha ha haaa hili nalo nenoooooooooooooooo .................................................................Tabia zingine ni za kurithi yaweza kua babake una tabia hizo au ulikua na tabia hizo! Cha kufanya uwe unamkataza tu hata ikibidi tumia ukali kidogo ili asijizoeshe
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahah! !! nacheka kwa furaha maana jemedali lng ana mwaka na cku io ndio mkato yake[emoji2]kuna dokta aliniambia niwe makini sana na mtoto wangu nimuangalie ukiona mtoto ashiki nyeti zake ujue kuna tatizo mahali na wengi huwa na dalili zile japo wazazi wengi huwa hawatambui mapema.. akaenda mbali zaidi na swala la mtoto kudinda usiku.... jisni anavyokojoa.. mwanangu ana mwaka na miezi ila akiwa uchi lazima achezee mdudu wake ila najifanyaga kumwambia acha dudu hiyo ila kimoyo moyo nasema safi
ni stage muhimu sana ila uwe unamwambia kishikaji usishike hiyo ila usimpigehahahahah! !! nacheka kwa furaha maana jemedali lng ana mwaka na cku io ndio mkato yake[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuu