samahani luq12 sijakuelewa hapa unaposema kukatikia mbele, naomba unielewesheKuwa makini sana kisije katikia mbele, ngoja waje
kitovu cha mtoto kina takiwa kukatika ndan ya wiki moja. kama mtoto ana nyonyeshwa vizuri INA maana ana pata lishe na virutubisho vya kutosha kuujenga mwili wake baada ya mtoto kuzaliwa kitovu huwa kama kidonda na kupona kwa kidonda kuna kitu kina itwa wound hilling process hizi process zina enda vizuri kama mtoto ana pata maziwa ya kutosha na ana wekwa ktk hali ya USAF mda wote.Naomba mwenye kufahamu mtoto huchukua muda gani kukatika kitovu? Je. Kama kikichukua muda mrefu zaidi hata wiki tatu kuna madhala? Au haina shida?
Je kama mtoto keshamaliza wiki mbili na bado hakijakatika yanipasa niwe na hofu? Au ni kawaida tu ipo cku kitakatika?
inategemea ila mara nyingi haizidi wiki moja,wangu kilikatika ana siku tano,kma wa kiume kuwa makini kisiangukie kwa mzee wa kazi,jogoo hatasimama ila kwa mtoto wa kike sijuiNaomba mwenye kufahamu mtoto huchukua muda gani kukatika kitovu? Je. Kama kikichukua muda mrefu zaidi hata wiki tatu kuna madhala? Au haina shida?
Mpeleke hospital ili kuondoa hofu uliyo nayo. Ila kama sijakosea mtoto akizaliwa unatakiwa kumpeleka baada ya siku saba ili kuangalia maendeleo ya mtoto ikiwemo na kitovu. Sasa sijajua wewe kama ulifanya hivyo na kama sio hao wakunga waliokuzalisha walikushauri nini baada ya kukupa hongera?Je kama mtoto keshamaliza wiki mbili na bado hakijakatika yanipasa niwe na hofu? Au ni kawaida tu ipo cku kitakatika?