JUNIOR GONG
Member
- Jun 29, 2014
- 60
- 28
Ni maziwa ya Mama yake tu hatujaanza kumpatia chochote.Mnamlisha nini?
Asante kwa ushauri mkuu nitauzingatia, pia ningependa kufahamu huwa inaweza kuzidi siku tano hajapata Choo??Ondoa wasiwasi ipo siku atakunya tu! Ila kama anatumia maziwa mbadala na humpi maji, jitahidi sana kumpa maji, hata kama anatumia maziwa ya mama na maziwa mbadala kwa wakati mmoja!
Asante mkuuPoleni sana
Jaribu kumpa mafuta ya samaki kijiko kidogo cha chakula huwa yanasaidia kulainisha chooNi maziwa ya Mama yake tu hatujaanza kumpatia chochote.