habari zenu wadau,me kuna kitu kinanitatiza kuna madhara gani mtoto kumlaza kifudifudi?ie. uso kuelekea chini?nauliza hv kwa sababu mwanangu ukimlaza uso juu dakika 10 nyingi keshaamka.lakini ukimlaza uso chini yani kifudifudi utamsahau.kuna madhara yyt kiafya akilala hv kwa muda mrefu?? naomba msaada wenu plz.
Angalia usije msababishia mtoto lichogo kama la kipepe
Ha ha ha ha ha ha kumlaza kivipi ndo Kuna sababisha chogo ka la kipepe.
Ukimlaza sana mtoto kifudi fudi mkuu anakuwa na chogo la hataree mtoto anatakiwa lazwa kila upande nimesikia lakin wahenga wanasema sina hakika ila wapo ambao tunawaona mtoto hana komwe ilaa chogo sasa au wengine chogo hana ila komwe sasa sababu nayosikia ni swala zima la kumlaza mtoto upande mmoja tu
we unaongelea mtoto...mimi mwenyewe nikilala kifudifudi utanisahau!!!